Yanga kuwaita wa ovyo watu waliopewa ushindi wa Mahakama ni kuidharau Mahakama

Yanga kuwaita wa ovyo watu waliopewa ushindi wa Mahakama ni kuidharau Mahakama

sos_10

Member
Joined
Jun 23, 2024
Posts
7
Reaction score
21
Kauli iliyotolewa na afisa habari wa Yanga bw Ally Kamwe kwa kuwaita wa ovyo watu waliotinga mahakamani kupinga uhalali wa uongozi wa Yanga na kupewa ushindi ni kuidharau Mahakama iliyotoa hukumu na kuwapa ushindi watu hao baada ya kusikiliza madai yao na kuona yana mashiko.

Nadhani ule muda waliotumia kuita vyombo vya habari kuwakandia na kuwabeza watu hao wangeutumia kujipanga na mwanasheria wao ili kwenda kupambana kisheria na watu hao wawili wanaowaumuiza vichwa.

Lakini pia inafikirisha kauli iliyotolewa na mwanasheria wa Yanga kuwa wakati kesi ikiendelea mahakamani na mpaka hukumu inatoka uongozi wa Yanga haukuwa na taarifa.

Sidhani kama Mahakama inaweza kuendesha kesi kwa kusikiliza upande mmoja, yaani kusikiliza upande wa Mdai bila ya Mdaiwa kupewa nafasi ya kujitetea.
 
Wana yanga tusimame imara, tunapandikiziwa BUNDI, katika club yetu, Naushauri uongozi uliopo ukate vizuri mirija yote, iliyokuwa ikiwanufaisha wanachama maslahi,/wanachama posho za bure bure!
#LET BUILT YOUNG AFRIKA!
#Hawa wazee ndicho chanzo kikuu cha vilabu vyetu kutokusonga mbele!, kazi zao kuu ni kupigana na senti za vilabu.
 
Kauli ya iliyotolewa na afisa habari wa Yanga bw Ally Kamwe kwa kuwaita wa hovyo watu waliotinga mahakamani kupinga uhalali wa uongozi wa Yanga na kupewa ushindi ni kuidharau Mahakama iliyotoa hukumu na kuwapa ushindi watu hao baada ya kusikiliza madai yao na kuona yana mashiko.
Nadhani ule muda waliotumia kuita vyombo vya habari kuwakandia na kuwabeza watu hao wangeutumia kujipanga na mwanasheria wao ili kwenda kupambana kisheria na watu hao wawili wanaowaumuiza vichwa.
Lakini pia inafikirisha kauli iliyotolewa na mwanasheria wa Yanga kuwa wakati kesi ikiendelea mahakamani na mpaka hukumu inatoka uongozi wa Yanga haukuwa na taarifa. Sidhani kama Mahakama inaweza kuendesha kesi kwa kusikiliza upande mmoja, yaani kusikiliza upande wa Mdai bila ya Mdaiwa kupewa nafasi ya kujitetea.
lete ushahidi kuwa Yanga waliitwa mahakamani au walishiriki
 
Kina mzee Magoma wanasubili kesi ya jinai ya kufoji nyaraka tu sasa.
 
a8cbb663102441c08b9f0a5995cf37c5.jpg
 
Kauli ya iliyotolewa na afisa habari wa Yanga bw Ally Kamwe kwa kuwaita wa ovyo watu waliotinga mahakamani kupinga uhalali wa uongozi wa Yanga na kupewa ushindi ni kuidharau Mahakama iliyotoa hukumu na kuwapa ushindi watu hao baada ya kusikiliza madai yao na kuona yana mashiko.

Nadhani ule muda waliotumia kuita vyombo vya habari kuwakandia na kuwabeza watu hao wangeutumia kujipanga na mwanasheria wao ili kwenda kupambana kisheria na watu hao wawili wanaowaumuiza vichwa.

Lakini pia inafikirisha kauli iliyotolewa na mwanasheria wa Yanga kuwa wakati kesi ikiendelea mahakamani na mpaka hukumu inatoka uongozi wa Yanga haukuwa na taarifa.

Sidhani kama Mahakama inaweza kuendesha kesi kwa kusikiliza upande mmoja, yaani kusikiliza upande wa Mdai bila ya Mdaiwa kupewa nafasi ya kujitetea.
Ali kamwe ndio wa ovyo!!! m2 mwenyewe kaishia form 2b
 
Kauli ya iliyotolewa na afisa habari wa Yanga bw Ally Kamwe kwa kuwaita wa ovyo watu waliotinga mahakamani kupinga uhalali wa uongozi wa Yanga na kupewa ushindi ni kuidharau Mahakama iliyotoa hukumu na kuwapa ushindi watu hao baada ya kusikiliza madai yao na kuona yana mashiko.

Nadhani ule muda waliotumia kuita vyombo vya habari kuwakandia na kuwabeza watu hao wangeutumia kujipanga na mwanasheria wao ili kwenda kupambana kisheria na watu hao wawili wanaowaumuiza vichwa.

Lakini pia inafikirisha kauli iliyotolewa na mwanasheria wa Yanga kuwa wakati kesi ikiendelea mahakamani na mpaka hukumu inatoka uongozi wa Yanga haukuwa na taarifa.

Sidhani kama Mahakama inaweza kuendesha kesi kwa kusikiliza upande mmoja, yaani kusikiliza upande wa Mdai bila ya Mdaiwa kupewa nafasi ya kujitetea.
ukisoma kauli vizuri utamuelewa ally kamwe alimwita nani wa hovyo, wala mahakama hakuigusa, kesi inaweza kuendeshwa upande mmoja bila shida yoyote huo ni mlango mzuri tu wa kutokea kwenye hiyo hukumu
 
ukisoma kauli vizuri utamuelewa ally kamwe alimwita nani wa hovyo, wala mahakama hakuigusa, kesi inaweza kuendeshwa upande mmoja bila shida yoyote huo ni mlango mzuri tu wa kutokea kwenye hiyo hukumu
hakuna mlango wa CHURA kutokea,labda aruke kupitia dirishani kama anavorukia vidimbwi vya maji pale jangwani,na kwaarifa yenu,list ya wafanyabiashara ya madawa ya kulevya imetoka,bosi wenu yatamkuta ya manji{subiri uone utanikumbuka}
 
hakuna mlango wa CHURA kutokea,labda aruke kupitia dirishani kama anavorukia vidimbwi vya maji pale jangwani,na kwaarifa yenu,list ya wafanyabiashara ya madawa ya kulevya imetoka,bosi wenu yatamkuta ya manji{subiri uone utanikumbuka}
Duuh kesi ya wazee wa yanga imehamia kwenye madawa ya kulevya?!? sasa kesi ni ipi?!? hapoo?!? ndio maana nasema mlango wa kutoeka upo mpana na mzuri sana, pengine msomi aliliona hilo ndio maana hukumu ikatoka hivyo!!!
 
Back
Top Bottom