Mayala masuka
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 449
- 795
Kakolanya inasemekana anaenda Simba kuchoma mahindi, acha tu aende huko ndo utakuwa mwisho wakemtanange saa 16:00,
yanga vs Tanzania prison
huku yanga akiwa ugenini,
YONDANI&KAKOLANYA hawatacheza kwenye mechi kama sababu zinazotajwa na viongozi wa timu kuwa ni matatizo binafsi ya wachezaji wao,
my take: kwa nini uongozi usiweke wazi,sababu zipi ? ikibidi na hatua walizofikia, ili kuhakikisha wanaimaliza hii sintofahamu
National team kama kocha anafuata misingi,maana simba anafuata maslahi si kuchezaKakolanya awe makini pamoja anasimamia maslahi yake atajichanganya ikawa ttzo upande wake
Yanga mkataba umegvunjika now ni free player na simba tayari wameongea naye kutokana na vyanzo vya ndani toka Simbatetesi za anaenda simba ni nani ana uhakika nazo wakuu cc Ndumbula Ndema
Kujitambua mkuu na kukosa washauriWachezaji wetu wajifunze uvumilivu mbona wengine hawajalipwa nawacheza hapo wanajigharimu wenyewe wenzao wanacheza na kupata nafasi
Kakolanya anatumika na meneja wake ambaye ni mjumbe wa bodi ya simbaKakolanya awe makini pamoja anasimamia maslahi yake atajichanganya ikawa ttzo upande wake
Habari si za kweli,tff leo wametoa taarifa yaoYanga mkataba umegvunjika now ni free player na simba tayari wameongea naye kutokana na vyanzo vya ndani toka Simba
Inawezekana MkuuHabari si za kweli,tff leo wametoa taarifa yaoView attachment 954216