Matungiza
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 523
- 335
Klabu ya Yanga inadaiwa kiasi kikubwa na wachezaji wapya waliosajiliwa msimu huu. Wachezaji hao inasemekana waliahidiwa kumaliziwa chao katika mechi za awali katika mzunguko wa kwanza.
Wachezaji hao walipotaka kupata ufafanuzi kwanini ahadi zao hazitekelezwi, inasemekana uongozi ulitaka kuwatisha ili wasisungumzie suala hili hadi wakati wa mapumziko ya baada ya ngwe ya kwanza.
Baadhi ya wachezaji ambao hawakutaka majina yao kutajwa walisikika wakilaumu na kusema mpira ni kazi yetu, kutishana ni zilipendwa, sisi tunadai chetu.
Unajua uongozi unawathamini sana wachezaji kutoka nje, madai yao wanatekelezewa haraka.
Yanga huu siyo wakati wa kubishana na wachezaji.
Wachezaji hao walipotaka kupata ufafanuzi kwanini ahadi zao hazitekelezwi, inasemekana uongozi ulitaka kuwatisha ili wasisungumzie suala hili hadi wakati wa mapumziko ya baada ya ngwe ya kwanza.
Baadhi ya wachezaji ambao hawakutaka majina yao kutajwa walisikika wakilaumu na kusema mpira ni kazi yetu, kutishana ni zilipendwa, sisi tunadai chetu.
Unajua uongozi unawathamini sana wachezaji kutoka nje, madai yao wanatekelezewa haraka.
Yanga huu siyo wakati wa kubishana na wachezaji.