Yanga Malizana nao mapema la sivyo dozi inakuhusu

Yanga Malizana nao mapema la sivyo dozi inakuhusu

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,282
Reaction score
6,303
MALIZANA NAO MAPEMA

Ili uwafunge Yanga wafunge mabao zaidi ya moja kipindi cha kwanza, ili wakirudi wawe na mlima wa kusawazisha na kutafuta ushindi...yaan MALIZANA NAO MAPEMA.

Half time talk Yanga wanajua namna ya kubadili timu, wanarudi kitofauti sana.

Kama ni kupoteza, siku yao ilikuwa leo.. Singida walijua namna ya kuwatoa mchezoni..mbinu ni moja tu, kuwa aggressive zaidi yao, gonga buti, fika sana mguuni..yote yalikuwa mema, lakini nani wa kufunga??

Hapo ndipo palipoleta utofauti wa mchezo.

Kapita Simba kapigwa, akaja Coastal Union kakalia, na Singida leo ndio kama ilivyokuwa..next stop ni Azam FC...wataweza kweli??Sio rahisi kama inavyodhaniwa.

Kuna kitu cha kuogofya kuhusu Yanga hii ambayo wengi wanadhani ni kama imeshuka kiwango...hadi sasa michezo nane hawajaruhusu bao..WE HUOGOPI?

Nafikiri msimu huu Yanga msisitizo mkubwa wasiruhusu bao, kwa sababu wana wachezaji wenye uwezo binafsi wa kubadili matokeo muda wowote ule, so, wasiporuhusu bao maana yake watashinda mechi kwa individual brilliance kama wapinzani wamekaba njia, ndicho kilichotokea.

Tunawasubiri Azam kama watakuwa na jipya, lakini wakiingia kama walivyoingia fainali ya ngao basi zile dozi zitaanzia siku hiyo...yaan kiufupi Azam wakubali kuingia ki-underdog.

Tusidanganyane, Yanga hii bado ya moto
 
MALIZANA NAO MAPEMA

Ili uwafunge Yanga wafunge mabao zaidi ya moja kipindi cha kwanza, ili wakirudi wawe na mlima wa kusawazisha na kutafuta ushindi...yaan MALIZANA NAO MAPEMA.

Half time talk Yanga wanajua namna ya kubadili timu, wanarudi kitofauti sana.

Kama ni kupoteza, siku yao ilikuwa leo.. Singida walijua namna ya kuwatoa mchezoni..mbinu ni moja tu, kuwa aggressive zaidi yao, gonga buti, fika sana mguuni..yote yalikuwa mema, lakini nani wa kufunga??

Hapo ndipo palipoleta utofauti wa mchezo.

Kapita Simba kapigwa, akaja Coastal Union kakalia, na Singida leo ndio kama ilivyokuwa..next stop ni Azam FC...wataweza kweli??Sio rahisi kama inavyodhaniwa.

Kuna kitu cha kuogofya kuhusu Yanga hii ambayo wengi wanadhani ni kama imeshuka kiwango...hadi sasa michezo nane hawajaruhusu bao..WE HUOGOPI?

Nafikiri msimu huu Yanga msisitizo mkubwa wasiruhusu bao, kwa sababu wana wachezaji wenye uwezo binafsi wa kubadili matokeo muda wowote ule, so, wasiporuhusu bao maana yake watashinda mechi kwa individual brilliance kama wapinzani wamekaba njia, ndicho kilichotokea.

Tunawasubiri Azam kama watakuwa na jipya, lakini wakiingia kama walivyoingia fainali ya ngao basi zile dozi zitaanzia siku hiyo...yaan kiufupi Azam wakubali kuingia ki-underdog.

Tusidanganyane, Yanga hii bado ya moto
Timu inacheza vizuri ila kwenye kumalizia bado haijakaa sawa.
 
Tuma salamu kwa watu watatu.
1. Natuma salamu kwa mwenyekiti wa matawi yote ya Simba duniani Kalpana akiwa Maryland, Marekani.
2. Natuma salamu kwa ex wangu Faidhafoxy, akiwa Afghanstan.
3. Natuma salamu kwa mashabiki wote wa Yanga kote duniani.

Ujumbe:- kushabikia Yanga ni raha na kunaongeza siku za kuishi.
 
Wewe kwa akili zako neno yanga lilisha wahi kufunga goli? Si hao hao individuals ndio wamekuwa wakifunga? Au unataka nani afunge ndio useme sio indivijo briliensi?
mpira umeujua jana na sijui una miaka mingapi? Kuna goli la timu na goli la mchezaji binafsi yanga sasa hivi wanahangaika tu wanashinda kwa kubahatisha.
 
mpira umeujua jana na sijui una miaka mingapi? Kuna goli la timu na goli la mchezaji binafsi yanga sasa hivi wanahangaika tu wanashinda kwa kubahatisha.
Shuti la Aziz K lililogonga mwamba lilikuwa ni matokeo ya team work au uwezo binafsi wa mchezaji?
 
MALIZANA NAO MAPEMA

Ili uwafunge Yanga wafunge mabao zaidi ya moja kipindi cha kwanza, ili wakirudi wawe na mlima wa kusawazisha na kutafuta ushindi...yaan MALIZANA NAO MAPEMA.

Half time talk Yanga wanajua namna ya kubadili timu, wanarudi kitofauti sana.

Kama ni kupoteza, siku yao ilikuwa leo.. Singida walijua namna ya kuwatoa mchezoni..mbinu ni moja tu, kuwa aggressive zaidi yao, gonga buti, fika sana mguuni..yote yalikuwa mema, lakini nani wa kufunga??

Hapo ndipo palipoleta utofauti wa mchezo.

Kapita Simba kapigwa, akaja Coastal Union kakalia, na Singida leo ndio kama ilivyokuwa..next stop ni Azam FC...wataweza kweli??Sio rahisi kama inavyodhaniwa.

Kuna kitu cha kuogofya kuhusu Yanga hii ambayo wengi wanadhani ni kama imeshuka kiwango...hadi sasa michezo nane hawajaruhusu bao..WE HUOGOPI?

Nafikiri msimu huu Yanga msisitizo mkubwa wasiruhusu bao, kwa sababu wana wachezaji wenye uwezo binafsi wa kubadili matokeo muda wowote ule, so, wasiporuhusu bao maana yake watashinda mechi kwa individual brilliance kama wapinzani wamekaba njia, ndicho kilichotokea.

Tunawasubiri Azam kama watakuwa na jipya, lakini wakiingia kama walivyoingia fainali ya ngao basi zile dozi zitaanzia siku hiyo...yaan kiufupi Azam wakubali kuingia ki-underdog.

Tusidanganyane, Yanga hii bado ya moto
TIMU imekamia balaa halafu wakapewa beki nkane ....☹️
 
1. Natuma salamu kwa mwenyekiti wa matawi yote ya Simba duniani Kalpana akiwa Maryland, Marekani.
2. Natuma salamu kwa ex wangu Faidhafoxy, akiwa Afghanstan.
3. Natuma salamu kwa mashabiki wote wa Yanga kote duniani.

Ujumbe:- kushabikia Yanga ni raha na kunaongeza siku za kuishi.
Natuma salamu kwa ex wangu Faidhafoxy, akiwa Afghanstan😅🤣😂🤣😅
 
Back
Top Bottom