Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hivi vyote havitasolve njaa aliyonayo sasaMrisho Ngassa Ni mchezaji aliyeichezea klabu ya Yanga kwa mapenzi makubwa mno.
Ameitumikia Yanga kwa uaminifu mkubwa mno na kwa nguvu zake zote, akili zake zote na kwa moyo wake wote.
Mrisho Ngassa aliwahi kukataa ofa ya billion moja kwenda Sudan ili tu abaki na Yanga yake.
Kwa hayo machache aliyoifanyia Yanga, Ingependeza zaidi Yanga imuandalie Mrisho Ngassa mechi ya kumuaga kwa heshima, kisha abebwe kwenye kiti kifalme ili kuthamini mchango wake kwa Club.
Pia itakuwa ni heshima kubwa kwa club ya Yanga iwapo itaitenga namba ya jezi ya Mrisho Ngassa Kama kuienzi na kuheshimu mchango wa legendary huyo barobaro.
Anawakumbuka wasudani sasahiviTatizo sio Yanga tatizo ni Ngasa.
Alichezea shilingi chooni sasa imedumbukia.
Imani za waganga na ushauri wa sangomaNgasa alizingua kusema kweli, nadhani hakupata watu wa kumshauri.
Kabisa mkuu.kagaragarawee na soka la bongo hapa kapata shavu la Sudan pesa ndefu akajifanya yeye ni Yanga damu.Anawakumbuka wasudani sasahivi
Kumshaurinini sasa wakati lilikua lishakua jituzima na linaakili zaketimamu.na alishauriwa maranyingi achukue dau la pesandefu za wasudani zaidi ya b 1.Ngasa alizingua kusema kweli, nadhani hakupata watu wa kumshauri.
Makombe mtayasikia hewani, hayawani nyie msio na shukraniSisi yanga hatutaki thawabu, tunataka makombe[emoji23]
Pia alikubali kulipa faini ya sh. milioni 15 pamoja na kurudisha sh. milioni 30 alizokuwa tayari ameshazitumia (jumla alilipa milioni 45) ili afanikishe kuhamia Yanga kutoka Simba iliyokuwa imemsainisha mkataba wa miaka miwili zaidi mbele ya mwaka mmoja wa mkopo kutoka Azam
Niliwahi mkuta mtwara akiwa na ndanda fc...aseee huyu jamaa ni moja ya wajinga sana. Alikuwa na amafanikio tele akayachezea.Hivi vyote havitasolve njaa aliyonayo sasa