kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Namba 1 - Mshery
Walinzi
Katikati
Mbele
Kwanini nimeweka katikati wachezaji wa 5? Kwasababu kule kwao Al Hilal hawatotafuta ushindi sana, bali watalazimisha sare, kwa hiyo watacheza mpira wa kuzuia na kufanya mashambulizi ya kustukiza.
Kwa hiyo basi Yanga wanatakiwa wacheze mchezo wa kushambulia, mpira wa kuzalisha sana mashuti katikati ya uwanja kuliko kutafuta namba 9.
Huu ndiyo mpira ambao Yanga wanatakiwa wacheze. Itakuwa hivi;
Job atacheza kama DCG, yaani atakuwa anachezea pembeni kama namba 2 na 5, huku Bangala atacheza kama DCD yaani atakuwa anacheza kama na 3 na 4.
Huku Aucho na Mauya watacheza kama MCD, yaani watakuwa wanacheza kama namba 6 na 5 timu inaposhambulia ili kuziba pengo katikati.
Djuma ana cheza kama namba MG kwa ufupi ni kama namba 7 ya mchongo, na Nalomalisa anacheza kama MD. Na hii namba 11 ya mchongo watakuwa wanapanda timu inaposhambulio na kushuka timu inapo jilinda kuja kukabia katikati.
Huku Fei na Aziz Ki watacheza kama namba 10 na 8, kushambulia kwa kupiga mashuti ya kati.
Walinzi
- Job
- Bangala
- Baka
Katikati
- Fei toto
- Aucho
- Zawadi mauya
- Djuma Shaban
- Lomalisa
Mbele
- Mayele
- Makambo
Kwanini nimeweka katikati wachezaji wa 5? Kwasababu kule kwao Al Hilal hawatotafuta ushindi sana, bali watalazimisha sare, kwa hiyo watacheza mpira wa kuzuia na kufanya mashambulizi ya kustukiza.
Kwa hiyo basi Yanga wanatakiwa wacheze mchezo wa kushambulia, mpira wa kuzalisha sana mashuti katikati ya uwanja kuliko kutafuta namba 9.
Huu ndiyo mpira ambao Yanga wanatakiwa wacheze. Itakuwa hivi;
Job atacheza kama DCG, yaani atakuwa anachezea pembeni kama namba 2 na 5, huku Bangala atacheza kama DCD yaani atakuwa anacheza kama na 3 na 4.
Huku Aucho na Mauya watacheza kama MCD, yaani watakuwa wanacheza kama namba 6 na 5 timu inaposhambulia ili kuziba pengo katikati.
Djuma ana cheza kama namba MG kwa ufupi ni kama namba 7 ya mchongo, na Nalomalisa anacheza kama MD. Na hii namba 11 ya mchongo watakuwa wanapanda timu inaposhambulio na kushuka timu inapo jilinda kuja kukabia katikati.
Huku Fei na Aziz Ki watacheza kama namba 10 na 8, kushambulia kwa kupiga mashuti ya kati.