Yanga mkienda ugenini nendeni statistic hii

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Namba 1

Diara

Namba 2

djuma

3 kibwana

4 bacca

5 job

6 bangala

7 fei

8 zawadi

9 mayele

10 aucho

11 farid

Mwisho kabisa nimeweka viungo wote hawa kwasababu ya kuzuia maana kitakacho enda kutokea kule kwao wauni wale watawashambulia mpaka mtalia
Kwa hiyo viungo vyote hivi wata wasaidia kuzuia
Angau makapata droo kama ambao walipata wao

Na mwisho kabisa pelekeni timu yenu kwenye makanisa ya kikristo mimi sio mjinga ambaye nina sema hivi nina maana
 
Utopolo ameoshwa bongo atazikwa Tunis
 
Hakuna Timu hapo,ni MATAPUTAPU tu hayo,yatagongwa Tunisia mpaka yachakae
 
Waulize Kipanga fc walitaka kuzuia sana lakini makombora yale hakuna mfumo rahisi wa kuyazuia.
 
Namba 2 Djuma toa, kajinenepea sana!!
 
Kwan mwamunyeto kala mali ya kocha nini ? Mbona hapangwi kabisaa
 
Tatizo la kwanza fukuza kocha

Tatizo la pili Azizi ki hatakiwi kucheza Kwa wakati mmoja na Feitoto

Inatakiwa Feitoto ndie acheze dakika zote 90 namba kumi

Mwisho Morison anatakiwa atokee benchi kuanzia dakika ya 55 hadi 65
 
Naamini uliingalia mechi, dakika chache sana kipindi cha mwisho club africain walitoa intro tu ya uchezaji wao na kilichotokea yanga walichanganyikiwa, mechi ya marudiano itakuwa dhahama kubwa kwa yanga.

Ushauri
Acheni zile kebehi zenu mcheze mpira, mlianza na al hilal mkasema hawana timu mara mmewekeza zaid yao kilichofuata ni nyie kuhamishiwa kwenye kombe la loosers kwa mujibu wa manara.

Huku kwa loosers nako mlitahadharishwa muache ngebe mkasema club africain hata haijulikan eti ndo mmeisikia na ni timu mdogo tu hivyo haiwez kuizuia, kilichotokea mech ya dar kimeonesha nan mkubwa, mmojq alicheza kwa uwezo wake wotewingine aliamua kurelax ili adroo

Points of discussion kwa wanayanga wote

1. Club africain walifikaje hapa mpaka wanakutana na yanga?

2. Club africain ina wachezaji wenye profile zipi mpaka waiwakilishe tunisia kisoka kwenye ngaz ya clun?

3. Uwekezaji wa yanga na club africain upi mkubwa ukizingatia yanga ana GSM na club africain wana Qatar airways?

Maswali haya ilitakiwa viongoz wa yanga wawe washayajibu kabla ya mechi ya dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…