Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Umesema kweli kabisaHabari wakuu
Nimemuona yule Mchezaji mpya wa Yanga kutoka Angola kisaikolojia hajapenda mazingira ya uwanja wa mazoezi alokutana nao baada ya kufika mazoezini
Na kwa hili yanga wasipolichukulia hatua haraka kila msimu watakua wanakimbiwa na wachezaji wao wanaojielewa kwenda upande wa pili kwani haya sio mapenzi kusema atavumilia.
Nchi kama Angola ile ni ulaya ndogo so mnapowaleta wachezaji na mapokezi mnayowapa wanataraji watakuta mazingira kama mnavoonekana.
Angola ni Ulaya ndogo?Habari wakuu
Nimemuona yule Mchezaji mpya wa Yanga kutoka Angola kisaikolojia hajapenda mazingira ya uwanja wa mazoezi alokutana nao baada ya kufika mazoezini
Na kwa hili yanga wasipolichukulia hatua haraka kila msimu watakua wanakimbiwa na wachezaji wao wanaojielewa kwenda upande wa pili kwani haya sio mapenzi kusema atavumilia.
Nchi kama Angola ile ni ulaya ndogo so mnapowaleta wachezaji na mapokezi mnayowapa wanataraji watakuta mazingira kama mnavoonekana.