Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Pambana na wazeee wa team huko, hakuna wasiouhisoka kwenye sakata lenu.Hakuna mgogoro Yanga.
Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.
Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
😆😆Mrembo na wewe umoPambana na wazeee wa team huko, hakuna wasiouhisoka kwenye sakata lenu.
Umevurugwaaaaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umevurugwaa vibayaaa weyeeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]Mrembo na wewe umo
Aaah mtani me Nina furaha sanaUmevurugwaa vibayaaa weyeeee!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwambaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaah mtani me Nina furaha sana
Mtego umenasa.
Tarehe 8 sio mbali
Usiwapangie watu cha kufanya mkuu.Hakuna mgogoro Yanga.
Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.
Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
My dear kuna vItu vingine vinashangaza sana yaani.Mtasubiri sana huyo bundi kutua Jangwani. Hii ndiyo timu ya wananchi hatushindwi kitu. Hao wazee wanga, kazi yao kupaa wataweza wapi kuiendesha timu. Tabu iko palepale...
#yangadaimambelenyumamwiko
🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩
Hakuna mgogoro wakati kuna kesi mahakamani na maamuzi yametoka?Hakuna mgogoro Yanga.
Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.
Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
RITA walishirikishwa kutoa ushahidi wao mkuu. Soma taarifa nzimaHukumu ya 2023, a year back, halafu linaletwa ombi la kukazia hukumu…so funny.
Kesi iliyosikilizwa upande mmoja bila ya kuwaita walalamikiwa. Full upwagu
🤔🤔🤔🤔Agenda kuu ni kuhusu safari ya yanga kwenda sauzi na utambulisho wa jezi watatangaza utakuwa lini
Kwani wachezaji na makocha wana kazi gani mpaka kila mtu aanze kuifikiria hiyo mechi.😅😅 Mbumbumbu mnazubaishwa
Tarehe 8 mtapigwa 8
Sio mbali fikiria sana hiyo game.
Achana na haya mambo
Kuimba kupokezana, wakati Kilomoni analeta usumbufu kwa uongozi wa Simba Yanga walikuwa wanamuita shujaa hadi wakamkaribisha kwenye tafrija yao, sasa ni wakati Juma Magoma aalikwe kwenye Simba Day.Migogoro imeamia kwa jirani.
Chama hana bahati, alikotoka kulikuwa na migogoro. Mpaka anaondoka aliacha ile migogoro ipo kwenye progress ya kutafutiwa suluhu.
Suluhu ikaonekana kupatikana wakati tayari mwamba kasepa.
Alipofikia huko ugenini nako hata mshahara wa mwezi mmoja bado hajaanza kuchukua tayari migogoro imeanza.
Daah hizi timu pasua kichwa sana.
RITA ni shahidi upande wa walalamikajiRITA walishirikishwa kutoa ushahidi wao mkuu. Soma taarifa nzima
Sana my dear Shadeeya kesi gani imeendeshwa kimyakimya hivyo? Wameona tupo kwenye peak wanaleta uchawi wao. Wanataka kuturudisha enzi za vibakuli, kuombaomba. Safari hii hatutakubali, Yanga ni kubwa kuliko yeyote.My dear kuna vItu vingine vinashangaza sana yaani.
Kuimba kupokezana, wakati Kilomoni analeta usumbufu kwa uongozi wa Simba Yanga walikuwa wanamuita shujaa hadi wakamkaribisha kwenye tafrija yao, sasa ni wakati Juma Magoma aalikwe kwenye Simba Day.