Yanga mna la kujifunza kuhusu mechi za nyumbani

Yanga mna la kujifunza kuhusu mechi za nyumbani

Cosovo

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
667
Reaction score
1,810
Sasa ni wakati wa timu ya Yanga kujifunza kuhusu mechi za nyumbani,hii spirit ya Simba ya "Hatoki mtu kwa Mkapa" imefanikiwa kwa asilimia 100

Simba wamejenga imani mechi za nje wanaweza kupoteza au kudroo lakini kwa mkapa hatoki mtu

Sasa ni wakati mwafaka timu ya Yanga na zingine ambazo zitakuwa niwakilisha Tanzania kimataifa kuwa na moto huu wa simba

Yanga, Azam,Namungo jifunzeni kutoka kwa Simba

Mechi za nyumbani iwe mvua,liwe jua,uwe upepo ,afe mtu,"Hatoki mtu kwa Mkapa"

Hongereni sana Simba
 
Sasa ni wakati wa timu ya Yanga kujifunza kuhusu mechi za nyumbani,hii spirit ya Simba ya "Hatoki mtu kwa Mkapa" imefanikiwa kwa asilimia 100

Simba wamejenga imani mechi za nje wanaweza kupoteza au kudroo lakini kwa mkapa hatoki mtu

Sasa ni wakati mwafaka timu ya Yanga na zingine ambazo zitakuwa niwakilisha Tanzania kimataifa kuwa na moto huu wa simba

Yanga, Azam,Namungo jifunzeni kutoka kwa Simba

Mechi za nyumbani iwe mvua,liwe jua,uwe upepo ,afe mtu,"Hatoki mtu kwa Mkapa"

Hongereni sana Simba
Mechi ijayo yanga vs kmc
Hatoki mtu kwa mkapa, kmc hatoki
 
169061684_3728112543966282_1946790201028024134_n.jpg

Acha kufikiri ujinga wa maneno matupu
 
Sasa ni wakati wa timu ya Yanga kujifunza kuhusu mechi za nyumbani,hii spirit ya Simba ya "Hatoki mtu kwa Mkapa" imefanikiwa kwa asilimia 100
Sasa unazungumzia mechi gani za nyumbani za Yanga wakati haishiriki michuano yoyote ya kimataifa?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wenzake wamewekeza wewe unaleta story.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Binafsi Ni Yanga Lia Lia, Ila kwa kilichofanywa na Simba this time nikili tu kwamba sisi na vilabu vingine vitakavyo pata nafasi ya uwakilishi kimataifa tunayo mengi ya kujifunza kwa klabu ya Simba kuanzia nje ya uwanja Hadi ndani ya uwanja lengo likiwa Ni moja kuieperusha vyema bendera ya taifa letu. Mambo ya kubezana nadhani tusiyape nafasi Tena, sisi sote ni watz ugomvi wa nini kwenye mechi za kimataifa? Hatuna budi kufuatilia mbinu za wenzetu walizopitia na sisi tupite humohumo Hali mradi tufikie lengo. Kumbuka wivu wa maendeleo unaruhusiwa. Hongera Simba, hongera watanzania wote, Simba imetufanya tutembee kifua mbele, bila Shaka yoyote tukiwaiga club yoyote hapa nchini ipatapo nafasi hii, itatuheshimisha kimataifa. Ni Mimi Kyata Yanga African kindakindaki.
 
Back
Top Bottom