kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Cc:Ududu
HahahaaaNashangaa sana kusikia viongozi eti wakilalamikia mchezaji wa mbeya city aliyepewa kadi nyekundu kaingia kuja kushangilia goli la kusawazisha.Hivyo mnahitaji point za mezani!Mnasikitisha!
Mambo ya ajabu sanaCc:Ududu
Unaona jinsi Yanga walipopewa Faulo ya wazi Kabisa jamaa kakosa balance kateleza Refa kawapa Penalty
Ona sasa!! Kwanini lakini?!!Cc:Ududu
Unaona jinsi Yanga walipopewa Faulo ya wazi Kabisa jamaa kakosa balance kateleza Refa kawapa Penalty