Yanga mnaudhi aisee, inakuwaje jezi zenu hazina majina?

bigmash

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
416
Reaction score
421
Wanaspoti.
Nimeamgalia mechi ya Yanga na Lipuli ya Iringa Leo, kweli Lipuli wameonyesha upinzani mzuri, lakini kitu kilichonikera na mara zote hii ni kawaida ya Yanga ni kwa jezi zao kutokuwa na majina ya wachezaji wao tofauti na Lipuli. Yanga ni timu kubwa kulinganisha na Lipuli, iweje wao Yanga washindwe kuandika majina ya wachezaji wao kwenye jezi zao? Dunia yote sasa hivi tunaona huu ndio utaratibu na ni mzuri, Kama ni huyo mganga wao basi anawapotosha, Yanga badilikeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
_~Mtani leo kaenda kuulizia mihogo ya kuchemsha kwenye duka la vipuri vya ndege,
Kwa maana aliaminishwa kila mwenye mdomo mweusi ni m'bwia unga, kumbe wengine ndivyo walivyozaliwa.... ?~_ ?[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila hata mimi inaniudhi sana hii................sijawahi kuelewa kwanini jezi hazina majina wallah
 
chura churani poleni 😡😡😡😡😡😡😡
 
Kwa kweli ni aibu sana. Timu kubwa kama Yanga kuvaa jezi kama miaka ya 60 ni aibu sana aisee
 
Mkuu naona jezi za yanga zinatumika kama za ndondo anapoingia mchezaji asubirie yule anayetoka ili avae jezi za mwenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watembeza bakuli fc hao, wangeandika hata kwa maker pen nyekundu...
 
Timu ya waswahili hiyo.
 
Mimi binafsi sihitaji majina. Tshishi Baby akishika mpira anajulikana kabisa, Rostand akidaka mpira anajulikana kuwa yule ndio yeye aliye daka.

Haaihitaji Majina ya jezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…