Yanga kama wanataka kuongeza kikosi chao waongeze wachezaji wafuatao kutoka Simba.
Kahata ni bonge la mchezaji ila Simba hana namba, Kagere the same, ame bonge la beki tatizo namba ni issue, mkude kupata namba tangu aje lwanga imekuwa shida.
Striker mchukue Dube, kutoka Azam, mchukueni striker mmoja kutoka Uganda. Kahata atawasaidia kuchezesha team.
Kahata ni bonge la mchezaji ila Simba hana namba, Kagere the same, ame bonge la beki tatizo namba ni issue, mkude kupata namba tangu aje lwanga imekuwa shida.
Striker mchukue Dube, kutoka Azam, mchukueni striker mmoja kutoka Uganda. Kahata atawasaidia kuchezesha team.