Yanga na Azam walivyorejea Kishua na Kisela

Yanga na Azam walivyorejea Kishua na Kisela

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
1 (1).jpg
1.jpg
 
Azam wangeenda kwa Tailor washonewe hizo suti maana wengine suti ni kubwa kuliko miili yao
 
Afu ndo kujiita wa kimataifa hahahah hawana tofauti na wale wa matopeni
 
Dah kweli yanga ni "Vyura Fc" wanawaza wataishi vipi kwenye bonde la jangwani au tuwapelekee kivuko?
 
Dah nimewapenda bure Azam , Yanga kwa uchafu hawajambo !
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom