Senior Lecturer
Senior Member
- Jan 19, 2013
- 177
- 74
mii nimekuelewaHapo nyingne ni timu ya mpira na nyngne ni genge la wahuni kama genge lingne liko msimbazi pale
Matokeo ya Azam yalikwaje?
kule yamenishinda mkuu, kabila ndio nimeshindwa kuhama!kumbe umehamia azam
Sembo alikuwa Afisa habari wa KerryNipo wamchangani naona mmeanza kujitutumua.
sembo zile mbwembwe zake ziliisha baada ya kocha mzungu kutimuliwa
mwaka gani vile??View attachment 329653
Majira ya saa 5 asubuhi ndipo wachezaji wa SIMBA na viongozi wao pamoja na jopo la waandishi wa habari waliongozana katika msafara huo,simba imeenda Misri kujichua kwa ajiri ya mchezo wa jumamosi dhidi ya Es setif ya Algeria,Simba ilishinda 2-0 katika mchezo wa kwanza ulochezwa nyumbani Tanzania.
Hahaaaa unaweza kumfikiria ni "punda"Ukikutana na Yondani na ule mdomo mweusi na hizo nguo kama pusha.