Yanga na Gor Mahia zapangwa kundi moja kombe la shirikisho

Hapa nimechanganyikiwa kabisa...Kuishabikia team yangu Yanga ama Gor Mahia kwa uzalendo?
 
Hapa nimechanganyikiwa kabisa...Kuishabikia team yangu Yanga ama Gor Mahia kwa uzalendo?

Mimi sitaishangilia Yanga. [HASHTAG]#SimbaDamu[/HASHTAG]
 
Hapa nimechanganyikiwa kabisa...Kuishabikia team yangu Yanga ama Gor Mahia kwa uzalendo?

Aisei tumeshikwa pabaya, pia mimi hapa shabiki wa watoto Jangwani Yanga FC, lakini uzalendo jameni Gor Mahia.
Duh..
Bora kupiga kimya atakayeibuka mshindi hoyeeee.
 
Hapa nina uhakika wa timu zangu mbili yanga au gor mahia. Moja lazima ipite
 
Drooo ya awamu hii nimeipenda
 
Team za kijani Yanga na Gor hatar xana [HASHTAG]#Daimambelenyumamwiko[/HASHTAG]
 
Mimi niko Ryon sports kwenye hii michuano,

Simba chama, AFC leopard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…