Baadae mkaweka kambi kwa Madiba UD Songo akawatia kidole cha katialafu tukafika robo fainali
Hivi simba naye kapigwa na mtibwa?Klabu ya soka ya Yanga jana jioni wamesafiri kuelekea Misri kwenye mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wapinzani wao Pyramids FC. Yanga imeondoka ikiwa inakosa huduma ya wachezaji wake muhimu Kelvin na Lamine Moro kwa harakaharaka ni kama yanga inabidi wasafiri na kapu la kubebea magoli maana sioni Yanga anatokea wapi kule Misri.
Mimi ni nani hata nimpinge mtoa mada.
Hata Mimi ni nani nimpinge Mtoa Mada
Mie ni nani hasa nipinge kapu la yanga
Hata mimi ni nani nimpinge mtoa mada.
Naona mmekutana.Hata mimi ni nani nimpinge mtoa mada.
Naona mmekutana.
Mshindwe na kauli zenu.
Yanga tukikaa vizuri na wachezaji walewale tunaweza kuwafunga Pyramids. Ni kucheza kwa kujiamini Na kuwashambulia tu. Wachezaji Wa kufanya hivyo tunao ila hawajatumika vema tu.
ππππ Umenivunja mbavu aisee π€£ π€£π€£ π€£Mimi ni nani hata nimpinge mtoa mada.
Uko sahihi ila si kwa kocha huyu yeye kuzuia tu muda wote mtu ushapigwa game ya kwanza una nini cha kupoteza sasa? Cheza mpira funguka sana tu potelea mbali!Yanga tukikaa vizuri na wachezaji walewale tunaweza kuwafunga Pyramids. Ni kucheza kwa kujiamini Na kuwashambulia tu. Wachezaji Wa kufanya hivyo tunao ila hawajatumika vema tu.
Yupo uwanjani leo!Moro hivi hajamaliza adhabu tu
Hawa wake wameanza kuwehuka .Nyie kweli ni wanawake wazuri, hamuishi wala hamuchoki kumtaja na kumuwaza Mme wenu. Yanga hongera kwa kuwa na mke mwema mikia fc.