Yanga na Simba mechi zao za Championship league wacheze kama MAN U vs CHELSEA

Yanga na Simba mechi zao za Championship league wacheze kama MAN U vs CHELSEA

Mpira umepigwa Chelsea anapelekeshwa Mwanzo mwisho .hiyo ndio spirit ya ushindi .mpelempele hakuna kusimama
Naamini watashinda
yaani Yanga yangu icheze km man u!!!wacha kutudharau daima mbele
 
Back
Top Bottom