Huja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 1,167
- 1,848
Nimewaza baadhi ya matukio kati ya simba na Yanga katika kuwafurahisha washabiki wake .
Nani kati Simba na yanga
nga ni timu ya matukio .. anayefanya matukio ya kumkomoa mwenzake zaidi ili awafurahishe wapenzi..
Nani anafikri ideas , nani anazifuata haya kama ni kwa mtindo mwingine..
Yupi anaweza kuumiza kichwa, yupi anaweza zaidi utani wa Jadi ili atengenze headline, vijiwe nk ..viiongozi wa taasisi wa kutafuta MEDIA attention....
Simba alipomtaja PHIRI , yanga nao pia eti wakamtaka,.... simba ilipomtaka Aziz KI yanga pia wakamtaka.
Manara alipoondoka simba ....Yanga wakamchukua.
Senzo alipondoka simba , Yanga wakamchukua...
Morrison naye Yanga wakamchukua...
Simba ilipoanza mabadiliko ( transformation ) Yanga nao wakaanza....
Simba ilipoanza SIMBA DAY , Yanga nao wakaanzisha week ya wananchi....
Simba walipotaka kumrudisha Clotous Chama, ..eti YANGA nao wakaingia vitani....
Hii inakupa taswira gani..?
Nani kati Simba na yanga
nga ni timu ya matukio .. anayefanya matukio ya kumkomoa mwenzake zaidi ili awafurahishe wapenzi..
Nani anafikri ideas , nani anazifuata haya kama ni kwa mtindo mwingine..
Yupi anaweza kuumiza kichwa, yupi anaweza zaidi utani wa Jadi ili atengenze headline, vijiwe nk ..viiongozi wa taasisi wa kutafuta MEDIA attention....
Simba alipomtaja PHIRI , yanga nao pia eti wakamtaka,.... simba ilipomtaka Aziz KI yanga pia wakamtaka.
Manara alipoondoka simba ....Yanga wakamchukua.
Senzo alipondoka simba , Yanga wakamchukua...
Morrison naye Yanga wakamchukua...
Simba ilipoanza mabadiliko ( transformation ) Yanga nao wakaanza....
Simba ilipoanza SIMBA DAY , Yanga nao wakaanzisha week ya wananchi....
Simba walipotaka kumrudisha Clotous Chama, ..eti YANGA nao wakaingia vitani....
Hii inakupa taswira gani..?