Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Kwanza nasikitika kuona hata wachambuzi wakubwa kabisa wana mislead watu kuwa eti lile la Aziz K ni goli, tatizo kubwa wa TZ ni kwamba tunaangalia vitu out of professional na mahaba na kubahatisha bahatisha tu; Lile sio goli ukienda kokote, na hata Penalty waliyonyimwa Mamelody angenyimwa Yanga pia tungesema tumeonewa, mpira ni mchezo wa kanuni na wazi.

Refa alikuwa very fair kwa pande zote mbili. Kama mnafuatilia EPL, mipira kama ile huwa inakataliwa sana, tukubali kuwa hata wachambuzi wetu hawajui namna ya kutafsiri kanuni.

Nadhan ndio maana walishauriwa bungeni waende kusomea hiyo kazi

29ce986d-2bcd-4bf6-a6a7-644af6d40272.jpg

c49452da-c379-4a07-832d-aec9a797fe74.jpg

Kama sikosei mwaka Jana, SSC alifika alipfika Yanga, akatolewa kwa Penalty, ni matukio ambayo yanajirudia. TATIZO KUBWA HAPA NI INVESTMENT.

sisi huwa tunaonesha upinzani tu, mwisho wa siku tunarudi kwenye eneo letu

Yanga aliamua kushika Bomba ugenini na nyumbani kote amecheza kwa 28% tu, mpira wa kushika bomba ni bahati nasibu tu na kushika pumbu. Sioni kama Yanga inahitaji pongezi zozote, mambo ya kufa kiume ni useless. Huwezi kupata ushindi kwa kushika bomba tu na kutegemea bahati, style mbaya kabisa inatokana na poor investment. Tunabaki kulaumu kuwa tumeonewa, kwa mpira gani na goli gani ndani ya dakika 90?

Yanga na SSC mnahitaji kufanya investment, achaneni na inshallah inshallah hazisaidii kitu, fanyeni investment, acheni utapeli wa social media na kupoteza muda kwenye branding

mtashangazwa sana mwakani SSC na Yanga zote zikashindwa kufika hata makundi: Yanga na SSC bado sio zile timu kuwa lazima zicheze makundi, hawajafika hizo level . Ili kufika huko , fanyeni investment.

Yanga imetoka kihali japo imeonesha ushindani ; kama Yanga akiongeza investment kidogo tu , naamini mwakani pia atacheza robo Fainal , sisemi kuwa lazima acheze kwa sababu bado sio timu kuwa lazima ivuke makundi kama ilivyo kwa mamelody au ahlyl.

SSC ni timu ambayo imeshakufa na haina dira na wanaamini sna kwenye ushirikina,
Inacheza robo fainal ya 5 bila ya impact yoyote, ni aibu lakini pia nashauri waendelee tu ku invest kwenye social media na UCHAWI, that is what they know best.

Naambiwa kocha wa SSC ameamua kuondoka na sababu kuu ni hapewi nafasi ya kusajili watu anawaamini
 
Lile ni goli safi kabisa na uhitaji VAR ku ng'amua kama nigoli, ila kwakua limekataliwa hakuna namna.
Mpira wa ki Afrika hasa katika ngazi ya vilabu Kuna upuuzi mwingi.

Frenk Lampard aliwatungua Germany bao kamailo likasababisha ije VAR, Leo Aziz K anafunga kwa stil ileile ya Lampard VAR Ina kataa.

Bora tuludi kulekule kwakina tatu Malogo tujue ni makosa ya kibinadamu.
 
Ni swala la uwezo tu no mediocre kwenye futbol
 
Lile ni goli safi kabisa na uhitaji VAR ku ng'amua kama nigoli, ila kwakua limekataliwa hakuna namna.
Mpira wa ki Afrika hasa katika ngazi ya vilabu Kuna upuuzi mwingi.

Sina muda wa kubishana na wewe mkuu, baki na imani yako na imani yako itakuponya
 
Usikilizwe kwa kipi kolo wewe ni yuda tunakujua

Ndani ya dakika 90 mnasubiri goli la kushika pumbu, acheni uzwazwa, kama mnajua kanuni kachezesheni nyie
Mpira wenyewe mnacheza kwa asilimia 23, mngefunguka tuone pasi za mamelody

Yaani ni worst type of playing
Makolo nayo yameshapasuka na kama kawaida yao yamekufa kiume
 
Nimebishana na watu hadi basi mpira haujavuka hiyo line umedundia kwenye touch line
 
Lile ni goli safi kabisa na uhitaji VAR ku ng'amua kama nigoli, ila kwakua limekataliwa hakuna namna.
Mpira wa ki Afrika hasa katika ngazi ya vilabu Kuna upuuzi mwingi.

Frenk Lampard aliwatungua Germany bao kamailo likasababisha ije VAR, Leo Aziz K anafunga kwa stil ileile ya Lampard VAR Ina kataa.

Bora tuludi kulekule kwakina tatu Malogo tujue ni makosa ya kibinadamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hujasemaaa
 
Uzi mzima umenaa neno investment, kua specific investment kwenye nini hasa??

Unabeza Yanga na Simba kufika robo fainali kwa najeti hizi zetu??

Ahly kashika bomba kwa mkapa kampasua simba 1, hata huko Cairo wala hakua na mbwembwe na kucheza mpira bado kambonda Simba 1.

Belouizdad wala hakucheza pira biriani kwao akambinda Yanga 3 mtungi.

Au wewe kushika bomba huwa unaitafsiri vipi??

Kwa hizi mechi Investment imeamuaje mechi??
 
Uzi mzima umenaa neno investment, kua specific investment kwenye nini hasa??

Unabeza Yanga na Simba kufika robo fainali kwa najeti hizi zetu??

Ahly kashika bomba kwa mkapa kampasua simba 1, hata huko Cairo wala hakua na mbwembwe na kucheza mpira bado kambonda Simba 1.

Belouizdad wala hakucheza pira biriani kwao akambinda Yanga 3 mtungi.

Au wewe kushika bomba huwa unaitafsiri vipi??

Kwa hizi mechi Investment imeamuaje mechi??

Investment maana yake investment! Go and search to know investment ya wapi

Sasa wewe umeshika bomba home na aware , what did you get ?

Sina muda wa kubishana na wewe
Imani yako itakuponya
 
Back
Top Bottom