Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

VAR za Epl huwa zinagandisha yukio lakini hawa hakuna kitu kama hicho! Mkuu wewe huwezi kuona kama ni goli kwa sababu macho yalikuwa yamezingwa na zivuma ya nkeo!πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
VAR za Epl huwa zinagandisha yukio lakini hawa hakuna kitu kama hicho! Mkuu wewe huwezi kuona kama ni goli kwa sababu macho yalikuwa yamezingwa na zivuma ya nkeo![emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1]

Sina muda wa kubishana na wewe. Endeleza mahaba yako na mpira wa kushika pumbu



Imani yako itakuponya
 
Sasa mnalalamika Nini milifikiri CAF ni wajinga wakubali Yanga muende Nusu Fainali kimazabe Kwa kushika Bomba ,yaani Mechi mbili Dar na Pretoria mmeshindwa kufika hata ball possession ya Jumla ya 50%
 
Sasa mnalalamika Nini milifikiri CAF ni wajinga wakubali Yanga muende Nusu Fainali kimazabe Kwa kushika Bomba ,yaani Mechi mbili Dar na Pretoria mmeshindwa kufika hata ball possession ya Jumla ya 50%
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha uzwazwa wewe... unaonyesha matukio ambayo VAR imeonyesha na kurudia vizuri ili kuridhisha kila mtu aliyeko uwanjani na asiyekuwepo uwanjani. Mbona VAR mechi ya yanga hawakufanya hivyo
 
Sasa mnalalamika Nini milifikiri CAF ni wajinga wakubali Yanga muende Nusu Fainali kimazabe Kwa kushika Bomba ,yaani Mechi mbili Dar na Pretoria mmeshindwa kufika hata ball possession ya Jumla ya 50%

Poor investment no plan

Tunalazimisha goli ambalo sio goli
Crazy kabisa

Mamelody had penalty straightforward
Nao waki complain je, football kama hutaki shida piga kwenye mshono Ndani ya dakika 90 full stop
 
Ni hatua kubwa pamoja na hiyo kupigwa nje ndani, Ni kubwa mno ambayo nchi nyingi Africa hazijaipata.

Endelea ivo ivo

Imani yako itakuponya kama kutolewa robo fainal 5 times ni hatua kubwa then I am done [emoji2099]
 
Investment maana yake investment! Go and search to know investment ya wapi

Sasa wewe umeshika bomba home na aware , what did you get ?

Sina muda wa kubishana na wewe
Imani yako itakuponya
Hiyo investment ndo imezifikisha hizo timu hapo zilipo.

Kushika bomba sio shida, we kijana mpira umeanza kuangalia lini wewe??

Hizo ni mbinu, Simba hajashika bomba yuko wapi??

Yaani wewe timu kukaa nyuma unahisi ni haina investment πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Ahly mbona kashika bomba nje ndani, nae hana investment πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Acha uzwazwa wewe... unaonyesha matukio ambayo VAR imeonyesha na kurudia vizuri ili kuridhisha kila mtu aliyeko uwanjani na asiyekuwepo uwanjani. Mbona VAR mechi ya yanga hawakufanya hivyo

Nenda kapigane na jiwe;

23% unataka goli la nini, kama una investment ungefunguka tuone mpira sio kushika pumbu , crazy kabisa

Fanya investment
 
Weka picha za goli la Yanga kama ambavyo umeweka hayo ya Ulaya, kama huna picha bc uzi huu ni taka.
 

Kaka SSC sio timu
Ni genge la wahuni na matapeli

Wanasubir pesa za CAF wagawane
 
Endelea ivo ivo

Imani yako itakuponya kama kutolewa robo fainal 5 times ni hatua kubwa then I am done [emoji2099]
Tano chache sana hizo.

Arsenal hajalamba kombe Epl ila top 4 yupo mara kibao ila huoni akikata tamaa, kila msimu yumo akiamini one day Yes atanyanyua kwapa tu.

We endelea kuamini kua ukishindwa first time basi next time uwin.

Unaeeza kuanguka hata mara 10 lakin mwisho wa siku ukaibuka kidedea.

Kinachotakiwa ni maintain kile kidogo upatacho kisipotee.

Tatizo lako unatukia hisia kufirikiri.
 
Nenda kapigane na jiwe;

23% unataka goli la nini, kama una investment ungefunguka tuone mpira sio kushika pumbu , crazy kabisa

Fanya investment
Kwa mpira huo ndo nimeelewa kwa nini mamelody misimu karibia nane sasa hajawahi kufika hata fainal caf
 
Kwa mpira huo ndo nimeelewa kwa nini mamelody misimu karibia nane sasa hajawahi kufika hata fainal caf

Wee umefika Mara ngapi?

Yani robo ya kwanza over 30 year unakuja kusema nini, mbona akili huna ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…