Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop


Sasa SSC NI ARSENAL
CAF ni EPL ?
 

Mbona wengine wanafika kila siku ?

Bado hujapata majibu tu ?
 

Kitenge anasema mnaweza kukata RUFA kwa fraud na error

Tianeni ujinga na kimbelembele muandike barua kama barba

Yaani watanzania ni mazuzu kweli

Tunajua maana ya Fraud na Fixing match dah
Aibu sana

Hata tukirudia game na Mamelody 10 times watatutoa

Tuache ujinga
 
Kuna camera nyuma ya lile goli pembeni kidogo...

Unahisi angle ya hapo hawajaiona...??

Lile ni goli
 
Kuna camera nyuma ya lile goli pembeni kidogo...

Unahisi angle ya hapo hawajaiona...??

Lile ni goli

Angle ya hii camera, refa alipaswa kwenda kuangalia
 
SSC ni timu ambayo imeshakufa na haina dira na wanaamini sna kwenye ushirikina,
Inacheza robo fainal ya 5 bila ya impact yoyote, ni aibu lakini pia nashauri waendelee tu ku invest kwenye social media na UCHAWI, that is what they know best.
Hapa umeandika utumbo....mchambuzi wa Michele wewe.
 
What a bitter [emoji381] to swallow.
 
Timu ya tano kwa ubora,imeongia tobo faonali mara 5 useme imekufa
 
Nimebishana na watu hadi basi mpira haujavuka hiyo line umedundia kwenye touch line
Uko Kijiji gani mkuu..au unatumiwa kifaa gani Cha mawasiliano hata hizi video usione...
Your browser is not able to display this video.
 
Sajili za kijanja janja mtu kama gift fred,guede,musonda,makudubela hawa hawawezi kukuvusha kwenye hatua kama hii
 
Kulikuwa na penalty gani? Au mpira ulitizama kwenye kiswaswadu. Sasa wakusikilize ww kama nani?
 
Kwahiyo we unatakaje,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…