Kumbe umemgundua enheeee!Usikilizwe kwa kipi kolo wewe ni yuda tunakujua
Kutaka kutafutiana ban tu.Mods futa uzi unajaza saver bure
View attachment 2955167
Angle ya hii camera, refa alipaswa kwenda kuangalia
Una ugonjwa wa kutojiamini kijana, waTz wengi wapo kama wewe.Kitenge anasema mnaweza kukata RUFA kwa fraud na error
Tianeni ujinga na kimbelembele muandike barua kama barba
Yaani watanzania ni mazuzu kweli
Tunajua maana ya Fraud na Fixing match dah
Aibu sana
Hata tukirudia game na Mamelody 10 times watatutoa
Tuache ujinga
Hawawezi kufika wote kila siku, kuna wanaoshindwa kufika.Mbona wengine wanafika kila siku ?
Bado hujapata majibu tu ?
Uko Kijiji gani mkuu..au unatumiwa kifaa gani Cha mawasiliano hata hizi video usione...
View attachment 2955193
Arsenal ni majinSasa SSC NI ARSENAL
CAF ni EPL ?
Ushabiki wa vijiweni huuWale wahuni na matapeli ,nasema uongo!?
Hawawezi kufika wote kila siku, kuna wanaoshindwa kufika.
Nusu ni timu 4 tu na sio 54 sawa kijana, kwahiyo mamelod na Ahly kila msimu wanafika nusu fainali?
Mamelodi kaishia mara ngapi robo??
Fatilia leta jibu hapa ndo ujue ni hakuna kukata tamaa.
Yanga 1 tu.N’a wewe umeishia mara ngapi ?
Una ugonjwa wa kutojiamini kijana, waTz wengi wapo kama wewe.
Walisema Mamelod atamkanda uto za kutosha hapa kwa mkapa ila game ikaisha suluhu, wakasema uto kwa madiba hatoboi akiendelea kulinda hivi atakula nyingi ila pia hola wote wamepelekeana pumzi ya moto.
Mkasema tena Uto hawezi mfunga mwarabu goli 3+ ili afuzu, mwarabu akala 4g++ mkaufyata kwa visingizio kua wale ni waarabu koko.
Acha kujibeza kijana.
Blahblah tu hakuna la maana umeandika. Tuonyeshe footage ya lile goli, otherwise utakuwa unapiga soga. Hawakuonyesha close range ya ule mpira, huwezi kuja na hitimisho la namna hii.
Hata hivyo, Yanga walikuwa more professional kwenye both legs, knowing your opponent, knowing what you need to do to contain, close him down and not allowing a goal was a masterclass technic.
Kuhakiki faul ya Lomalisa VAR ilitumika ila kuhakiki goli ikakataliwa.Lile ni goli safi kabisa na uhitaji VAR ku ng'amua kama nigoli, ila kwakua limekataliwa hakuna namna.
Mpira wa ki Afrika hasa katika ngazi ya vilabu Kuna upuuzi mwingi.
Frenk Lampard aliwatungua Germany bao kamailo likasababisha ije VAR, Leo Aziz K anafunga kwa stil ileile ya Lampard VAR Ina kataa.
Bora tuludi kulekule kwakina tatu Malogo tujue ni makosa ya kibinadamu.
Umejikanyaga kanyaga mengi. Lakini bado unarudi kule kule kwenye ushabiki. Lile ni goal la wazi lisilohitaji hata VAR. Hakuna fair kwenye goal kucompere na matukio mengine kama ya kunyimwa penat sijui. Goal linajitenga na kulinganishwa na madhambi mengine uwanjani.
Unaruka ruka kama maharage yanaiva ksbb furaha yako imetimia.