Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu nina Wazo Fulani la Kumfikishia Waziri wa Utamaduni na Michezo Mhe. Mchengerwa ingawa Sina access ya kumfikishia.
Wazo na ushauri wangu ni kwamba Mm nadhani ni wakati sasa Yanga na Simba kushirikiana Kwenye Hii Hatua ili Waweze Kuvukà kwa pamoja.
Simba wawape mbinu Yanga kwa Jinsi wao walivyofika Mpaka hatua ya Robo Kwa Wakati Ule.
Pia serikali ikae na Hivi vilabu vi2 ili wawape sapoti na Nguvu Pia na Kujua changamoto ya Hizi team Ili serikali iweze kutoa Msaada.
Shida sina access ya kufikisha hili wazo Langu Kwa Waziri Mchengerwa.
Hivi vilabu vinaliwakilisha Taifa La Tanzania Kwa Hyo Vikishirikiana Kwa Pamoja bila kujiona nani ni mkubwa kwa mwenzake na kila mtu apambane kivyake Team Hizi hazitafika hata group stage.
Angalia km Waarabu wana fitina sana kuhusu team zao
Ndio maana Hata Ratiba za Michuano ya Afrika huwa inazibeba sana Timu za Uarabuni kwa Kuzikutanisha na Timu za Dhaifu ktk hatua za Awali.
Viongozi wa vilabu, serikali na Tff Zao(waarabu) Huwa wanatengeneza mazingira ya timu za kaskazini (waarabu) kufika mbali.
Zinakwepana ili zisitoane mapema. Utakuta mafarao wamepewa "Wasotho" au Shelisheli na timu ni vigumu kupewa washekisheli au komoro.
Karibuni Kwa mawazo Yenu Ili kujaziajazia nyama Ili wazo Langu Wakuu [emoji120][emoji120]
Wazo na ushauri wangu ni kwamba Mm nadhani ni wakati sasa Yanga na Simba kushirikiana Kwenye Hii Hatua ili Waweze Kuvukà kwa pamoja.
Simba wawape mbinu Yanga kwa Jinsi wao walivyofika Mpaka hatua ya Robo Kwa Wakati Ule.
Pia serikali ikae na Hivi vilabu vi2 ili wawape sapoti na Nguvu Pia na Kujua changamoto ya Hizi team Ili serikali iweze kutoa Msaada.
Shida sina access ya kufikisha hili wazo Langu Kwa Waziri Mchengerwa.
Hivi vilabu vinaliwakilisha Taifa La Tanzania Kwa Hyo Vikishirikiana Kwa Pamoja bila kujiona nani ni mkubwa kwa mwenzake na kila mtu apambane kivyake Team Hizi hazitafika hata group stage.
Angalia km Waarabu wana fitina sana kuhusu team zao
Ndio maana Hata Ratiba za Michuano ya Afrika huwa inazibeba sana Timu za Uarabuni kwa Kuzikutanisha na Timu za Dhaifu ktk hatua za Awali.
Viongozi wa vilabu, serikali na Tff Zao(waarabu) Huwa wanatengeneza mazingira ya timu za kaskazini (waarabu) kufika mbali.
Zinakwepana ili zisitoane mapema. Utakuta mafarao wamepewa "Wasotho" au Shelisheli na timu ni vigumu kupewa washekisheli au komoro.
Karibuni Kwa mawazo Yenu Ili kujaziajazia nyama Ili wazo Langu Wakuu [emoji120][emoji120]