Na huenda tatizo kubwa ni kundi kubwa linalowapa backing time hizi yaani hasa ushabiki
Leo hii tunashuhudia timu hizi zikiadhiriwa na vitimu vidogo hadi timu za vijijini...
Tukumbuke zamani za Akina Ramadhani Lenny, Mogella, Athumani China, Malota Soma, Iddi Pazi, Said Mwamba Kizota nk....aibu hizi hatukuziona!
Ushauri kwa serikali izifute timu mbili hizi hakika mpira utakuwa nchini .