Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
Yanga juzi wamekamilisha duru ya kwanza ya makundi akiwa wa mwisho kwa point 1 sawa na asilimia 11.11% katika point 9.
Kwa kutumia madaraja ya ufaulu mapya ya form six inamaanisha yanga ana grade F. Yaan failure.
Kwa mechi za ugenini yanga wameambulia point 0 sawa na asilimia 0.00% na kwa mech za nyumbani ameambulia point sawa na asilimia 16.67% na kuangukia kwenye grade F Kama kawaida.
Wataingia raund ya pili wakiwa na wastan wa grade F huku wakicheza mchezo mmoja taifa na miwili nje ya tanzania.
Tuendelee kuwaombea yale ya Portugal yanaweza kutokea tena.
Kwa kutumia madaraja ya ufaulu mapya ya form six inamaanisha yanga ana grade F. Yaan failure.
Kwa mechi za ugenini yanga wameambulia point 0 sawa na asilimia 0.00% na kwa mech za nyumbani ameambulia point sawa na asilimia 16.67% na kuangukia kwenye grade F Kama kawaida.
Wataingia raund ya pili wakiwa na wastan wa grade F huku wakicheza mchezo mmoja taifa na miwili nje ya tanzania.
Tuendelee kuwaombea yale ya Portugal yanaweza kutokea tena.