mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakuna kinachotushinda sisi utopolo fc isipokuwa uwezo wetu ndipo ulipoishia🏃♂️Wadau kumetokea nini kwa Mabingwa wa Kihistoria YANGA? Inaonekana kuna mtu anaibeba kutoka SARE, je atakuwa nani au yule Anayetembea na MPIRA? Yanga mna Makocha wengi wakiongozwa na Mzee Msolwa ,Mkwassa hao wazungu 2 nini kinawashinda?
Sent using Jamii Forums mobile app