Wenye akili ni wawili tu kikwete na mzee manaraHivi ukiwa shabiki wa Simba ni lazima uwe hauna akili?
Yanga wapo Misri, na wala hawamiliki AVIC town..!! Yaani mnataka mmiliki asipangishe mtu yeyote kisa adui wa 5imba?Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna ubaya kumpa mgeni hifadhi ?Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya naajabu mengine yaani timu imecheza michezo saba ya Kimataifa na imeshinda mchezo mmoja tu ila ajabu Yanga analaumiwa. Hivi ni kweli kwenye michezo yote sita Yanga alikuwa anawahujumu. Nyie endeleeni tu kuilaumu Yanga badala kuimarisha kikosi chenu.Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pambaneni na hali zenu.Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app