Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Anaandika @exaud_msaka_habari
Kwa mchezo wa Leo bado Yanga iliyomaliza wakati ligi inasimama na hii ya leo zipo sawa.
Ni kweli hatuwezi kuona matokeo ya Kocha Mwambusi kwa haraka ila bado ni ile ile.
Yanga inayocheza Soka la Kukimbizana sana kuliko Mipango, Kitu ambacho kiliwafanya KMC kuwa Huru sana kupiga Pasi nyingi
Yanga ya wachezaji wale wale wanaopoteza Mipira eneo ambalo unajiulIza kapotezaje
Yanga ambayo Wakijipanga waanze mpira nyuma anatokea mmoja wao anapiga mbele wanakimbizana tena
Yanga Yenye washambuliaji ambao bado wanakosa Magoli ya wazi sana
Yanga Ambayo Hata kocha alikuwa hajui anatafuta nini kwa wakati gani, Kumtoa Mukoko na Kumleta Nchimbi sijui hata kama na yeye alijua madhara yake pale katikati kwenda mbele
Hawajacheza Vibaya Ila hawajafanya vizuri sana hasa eneo la Mbele, kuna nafasi hatakiwi mtu anayecheza Yanga Kuzikosa
Tukisema tuwape muda ni sawa ila Ligi inasonga na hapo anatakiwa aje kocha Mpya afumue aanze na Mifumo yake
Yanga wanaangusha Point Mbili tena Nyumbani, sio ishara nzuri sana Kwenye lengo lao la Ubingwa
ALL IN ALL KILICHOBADILIKA MPAKA SASA NI RANGI YA NYWELE ZA FISTON
Kwa mchezo wa Leo bado Yanga iliyomaliza wakati ligi inasimama na hii ya leo zipo sawa.
Ni kweli hatuwezi kuona matokeo ya Kocha Mwambusi kwa haraka ila bado ni ile ile.
Yanga inayocheza Soka la Kukimbizana sana kuliko Mipango, Kitu ambacho kiliwafanya KMC kuwa Huru sana kupiga Pasi nyingi
Yanga ya wachezaji wale wale wanaopoteza Mipira eneo ambalo unajiulIza kapotezaje
Yanga ambayo Wakijipanga waanze mpira nyuma anatokea mmoja wao anapiga mbele wanakimbizana tena
Yanga Yenye washambuliaji ambao bado wanakosa Magoli ya wazi sana
Yanga Ambayo Hata kocha alikuwa hajui anatafuta nini kwa wakati gani, Kumtoa Mukoko na Kumleta Nchimbi sijui hata kama na yeye alijua madhara yake pale katikati kwenda mbele
Hawajacheza Vibaya Ila hawajafanya vizuri sana hasa eneo la Mbele, kuna nafasi hatakiwi mtu anayecheza Yanga Kuzikosa
Tukisema tuwape muda ni sawa ila Ligi inasonga na hapo anatakiwa aje kocha Mpya afumue aanze na Mifumo yake
Yanga wanaangusha Point Mbili tena Nyumbani, sio ishara nzuri sana Kwenye lengo lao la Ubingwa
ALL IN ALL KILICHOBADILIKA MPAKA SASA NI RANGI YA NYWELE ZA FISTON