Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Mwenyekiti wa Yanga Mshindo Msolla sijui yupo Yanga kufanya nini. Hivi maamuzi ya kumleta kocha mpya yamefanywa na nani? Usajili wa wachezaji km YIPE umefanywa na nani maana ni kama anapelekeshwa na kundi fulani la watu. Yanga inasajili wachezaji wa kawaida sn sijapata kuona.( Hasa wa kimataifa).Sioni nguvu yake km M/kiti maana siku hizi mambo mengi ya utendaji yanafanywa na GSM.Km kazi imemshinda aondoke!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app