Yanga ni kubwa, ndio timu bora Tanzania na ukanda wa CECAFA

Yanga ni kubwa, ndio timu bora Tanzania na ukanda wa CECAFA

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Ni mwanzo mzuri wa kupata uzoefu, japokuwa kulikuwa na mapungufu kwenye benchi la ufundi, pia mimi nilijifunza namna ya kuwafunga waarabu kumbe ni kipindi cha Kwanza walikuja kwa lengo la kupoteza muda ili wapate sare
 
Ni mwanzo mzuri wa kupata uzoefu, japokuwa kulikuwa na mapungufu kwenye benchi la ufundi, pia mimi nilijifunza namna ya kuwafunga waarabu kumbe ni kipindi cha Kwanza walikuja kwa lengo la kupoteza muda ili wapate sare
Coach alikuwa sawa
Nadhani amekutana mpinzani ngumu kama maswali magumu sana
Yeye alikuwa MC Alger wataziba katikati akaja na mfumo wa kucheza na mawinga, lakini Bahati mbaya Musonda hakuwa Bora hata kidogo
 
20250111_130311.jpg
 
Coach alikuwa sawa
Nadhani amekutana mpinzani ngumu kama maswali magumu sana
Yeye alikuwa MC Alger wataziba katikati akaja na mfumo wa kucheza na mawinga, lakini Bahati mbaya Musonda hakuwa Bora hata kidogo
Ndiyo maana nimeongelea benchi la ufundi ilitakiwa kipindi cha kwanza kufanya marekebisho hayo kwasababu mchezaji hawezi kujitoa mwenyewe bali benchi la ufundi kwa maana mchezaji anafurahia kuaminiwa
 
Ndiyo maana nimeongelea benchi la ufundi ilitakiwa kipindi cha kwanza kufanya marekebisho hayo kwasababu mchezaji hawezi kujitoa mwenyewe bali benchi la ufundi kwa maana mchezaji anafurahia kuaminiwa
Ni mchezo tu
Waliamini labda Musonda atakuwa Bora kama alivyokuwa anawaonyesha kwenye uwanja wa mazoezi lakini alicheza vibaya mno
 
Ni mchezo tu
Waliamini labda Musonda atakuwa Bora kama alivyokuwa anawaonyesha kwenye uwanja wa mazoezi lakini alicheza vibaya mno
Mimi Msonda niliacha kumuamini muda mara nyingi anapiga off target, japokuwa wachezaji wote walipiga off target wengi wakikosa magoli ya wazi tupongeze umahili wa goli kipa wa MC Alger
 
Mimi Msonda niliacha kumuamini muda mara nyingi anapiga off target, japokuwa wachezaji wote walipiga off target wengi wakikosa magoli ya wazi tuponge umahili wa goli kipa wa MC Alger
Musonda ni mchezaji wa kawaida mno
Hasimami kama striker, Bora Dube anajua kusimama kwenye nafasi
Musonda hawezi kutokea pembeni
Musonda hapigi mashuti ya mbali
Musonda hawezi ku battle na mabeki
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Kundi la yanga ndo likikua kundi bovu kabisa. Imagine anayeongoza kafungwa mechi mbili na bado anaongoza kundi. Kinachofurahisha mashabiki wa yanga mnajua sana kujifariji
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Mna ukubwa gani nyie. Mmekuja kutolewa nyumbani kwenu..
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
You are out of the competition, lakini unabweka kuliko mbwakoko

You are out and dusted till next season

Simba passed this stage consecutively na waliongoza hwdi group stage huku eventual
Winners ahly wakiwa second
 
YANGA SIO TIMU PEKEE INAYOSHIRIKI CAFCL KUTOKA AFRIKA MASHARIKI ZIPO TIMU NYINGI TU KAMA;
1.AL HILAL
2.TP MAZEMBE
3.MANIEMA

ZAMALEK AMBAYE YUKO CAFCC NI TIMU KUBWA NA YENYE MAFANIKIO KULIKO TIMU ZIFUATAZO AMBAZO ZIPO CAFCL
1.YANGA KUBWA JINGA LA AFRIKA MASHARIKI
2.MANIEMA
3.STADE D'ABDJAN
4.BELOUIZDAD
5.MC ALGER
6.PYRAMID
7.RAJA CASABLANCA
8.FAR RABAT

RS BERKANE AMBAYE YUKO CAFCC ANAONGOZA LIGI MBELE YA
1.FAR RABAT;YUPO KLABU BINGWA.
2.RAJA CASABLANCA;YUPO KLABU BINGWA.

SIMBA AMBAYE YUPO CAFCC ANAONGOZA KUNDI MBELE YA
1.YANGA KUBWA JINGA LA AFRIKA MASHARIKI LILILOTOLEWA JANA NA WAARABU.

AFRIKA MASHARIKI NA KATI SIMBA NDIO TIMU PEKEE ILIYOSALIA KWENYE MICHUANO YA CAF MAKUBWA JINGA YOTE YAMETOLEWA.

MPAKA JIMAMA LA JANGWANI YANGA LIMETOLEWA.

MWANASIMBA TAMBA,VIMBA UNAYO SABABU.
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
..... Iliyokuwa ikishiriki.....
 
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
Mimi kama mwanachama wa Yanga

Nawapongeza viongozi, wachezaji, Wanachama na mashabiki

Yanga ni timu Bora katika ukanda huu wa CECAFA, ndio timu pekee iliyokuwa ikishiriki mashindano makubwa ya club bingwa ukanda huu
Lakini isivyo bahati tumekwama na kuishia hatua ya group stage

Wale wenzetu wapo shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama, ambayo CAF walitaka wayafutilie mbali Kwa kukosa hadhi na kuwa mashindano yasiyo na hadhi

Watani wana force faraja fake Kwa kujilinganisha na Yanga iliyoishia group stage wakati timu iliyoishia final huko shirikisho hawezi kupata pesa sawa na timu iliyoishia group stage ya CAFCL

Mashabiki wa Yanga ni watu wakomavu na wana michezo, pamoja na matokeo kutokuwa upande wao hawakuharibu miundo mbinu ya uwanja kama wale wa 5imba ambao ni wahuni wavuta ugolo na bange

Yanga kutolewa timu zote za ukanda wa CECAFA Zina maumivu makali

Tujinze kutofautisha kati ya CAFCL na shirikisho yaani UMISETA ambapo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano ya akina mama

Yanga tutajipanga tena na tuna waahidi iwakirishi mwema,

Yanga bingwa
😿😿😿 afya ya akili bdo n janga kubwa kwa mashabiki wa utopolo
 
Back
Top Bottom