kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kuna siku nilipost hapa kabla ya mechi ya Simba na Yanga ni kasema Yanga hii sio watu wa maneno mengi kama Simba tupo kama Vladimir Putin tuna kupiga kwa vitendo sio kwa maneno
Simba wana maneno mengi wakialikwa na timu zingine au wakitajwa kwenye kundi fulani la Africa maneno yanakuwa mengi
Sijui Simba kubwa sijui Simba sisi ni watano Africa sijui Simba lidude likubwa yaani maneno mengi
Ila wakikutana na wanaume washoka vilio vinakuwa vingi sijui Yanga wanaroga saana sijui Yanga mambo mengi wanajifunzia kwetu sijui mayele ni wakawaida
Ila naona sasa hivi wamealikwa na al hilal maneno tena yameongezeka. Huku mwanaume Yanga a.k.a Vladimir Putin ana angalia tu wao na huyo aliye walika wakija vibaya wote tuna wapasuwa
Simba wana maneno mengi wakialikwa na timu zingine au wakitajwa kwenye kundi fulani la Africa maneno yanakuwa mengi
Sijui Simba kubwa sijui Simba sisi ni watano Africa sijui Simba lidude likubwa yaani maneno mengi
Ila wakikutana na wanaume washoka vilio vinakuwa vingi sijui Yanga wanaroga saana sijui Yanga mambo mengi wanajifunzia kwetu sijui mayele ni wakawaida
Ila naona sasa hivi wamealikwa na al hilal maneno tena yameongezeka. Huku mwanaume Yanga a.k.a Vladimir Putin ana angalia tu wao na huyo aliye walika wakija vibaya wote tuna wapasuwa