Yanga ni team ya Taifa

Yanga ni team ya Taifa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Wallah wabillah hii ni kufru.. amekufuru huyu. Huu ni wivu tu. GSM inachukiwa jinsi inavyopiga pesa kwa sasa. Inachukiwa sana. Iacheni ndo wakati wake huu.

Yanga ni team ya Taifa. Nyie mikia mnaona wivu sana. Yanga ina back up kubwa sana ya kutoka kwa viongozi wakubwa. Hamuiwezi na mtashindwa. Yaani kwa Yanga ubingwa ni mpaka 2035 back to back. Haina kwere hiyo. As long as hii Serikali ipo Madarakani Yanga atakuwa Bingwa. Ni team ya Taifa.

Huyu mzee sijui anakula maharagwe ya wapi? Kama hatopatiwa kesi. Sijui. Ajifanye yeye ana msimamo imara

 
Wallah wabillah hii ni kufru.. amekufuru huyu. Huu ni wivu tu. GSM inachukiwa jinsi inavyopiga pesa kwa sasa. Inachukiwa sana. Iacheni ndo wakati wake huu.

Yanga ni team ya Taifa. Nyie mikia mnaona wivu sana. Yanga ina back up kubwa sana ya kutoka kwa viongozi wakubwa. Hamuiwezi na mtashindwa. Yaani kwa Yanga ubingwa ni mpaka 2035 back to back. Haina kwere hiyo. As long as hii Serikali ipo Madarakani Yanga atakuwa Bingwa. Ni team ya Taifa.

Huyu mzee sijui anakula maharagwe ya wapi? Kama hatopatiwa kesi. Sijui. Ajifanye yeye ana msimamo imara

View attachment 3074105
 
Huyu pimbi hata simu ya elfu 40 hana.
Anataka timu yenye thamani ya Bil 50!

Kila mmoja akisema aende mahakamani adai anachohisi yeye kwenye nafsi yake patakalika?

Bora kwake akapambana na kumiliki tumbo lake kwanza kabla hajaisaidia Yanga!
 
Wallah wabillah hii ni kufru.. amekufuru huyu. Huu ni wivu tu. GSM inachukiwa jinsi inavyopiga pesa kwa sasa. Inachukiwa sana. Iacheni ndo wakati wake huu.

Yanga ni team ya Taifa. Nyie mikia mnaona wivu sana. Yanga ina back up kubwa sana ya kutoka kwa viongozi wakubwa. Hamuiwezi na mtashindwa. Yaani kwa Yanga ubingwa ni mpaka 2035 back to back. Haina kwere hiyo. As long as hii Serikali ipo Madarakani Yanga atakuwa Bingwa. Ni team ya Taifa.

Huyu mzee sijui anakula maharagwe ya wapi? Kama hatopatiwa kesi. Sijui. Ajifanye yeye ana msimamo imara

View attachment 3074105
Comments reserved
 
Wallah wabillah hii ni kufru.. amekufuru huyu. Huu ni wivu tu. GSM inachukiwa jinsi inavyopiga pesa kwa sasa. Inachukiwa sana. Iacheni ndo wakati wake huu.

Yanga ni team ya Taifa. Nyie mikia mnaona wivu sana. Yanga ina back up kubwa sana ya kutoka kwa viongozi wakubwa. Hamuiwezi na mtashindwa. Yaani kwa Yanga ubingwa ni mpaka 2035 back to back. Haina kwere hiyo. As long as hii Serikali ipo Madarakani Yanga atakuwa Bingwa. Ni team ya Taifa.

Huyu mzee sijui anakula maharagwe ya wapi? Kama hatopatiwa kesi. Sijui. Ajifanye yeye ana msimamo imara

View attachment 3074105
Anajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe kifupi """Anajitekenya na kucheka""
 
Back
Top Bottom