Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Bahati yenu tunaeleka international break (ndio pona yenuu) lasivyo mngeendelea kupelekewa moto mpaka mkubali timu yenu ya kawaida Sanaa
1. Hizi pancha za wachezaji wenu sio kwa bahati mbaya ni kutumika kwa mda mrefu bila kupata mapumziko ya kutosha
2. Bado pancha ya nzengeli TU naisubiria kwa hamu, hapo ndio itakuwa msibaa kabisa
3. Ni zamu yenu kuingia sokoni timu ikiwa kwenye presha kubwa tuone mtafanya Nini, naisubiria Sanaa kwa hamu kuona mnavyopotelea kusikojulikana
4. Fukuzeni kocha, mleteni mpya aanze kuwa fahamu wachezaji, mzidi kupoteza milele daima.
Mpira uheshimiwe
1. Hizi pancha za wachezaji wenu sio kwa bahati mbaya ni kutumika kwa mda mrefu bila kupata mapumziko ya kutosha
2. Bado pancha ya nzengeli TU naisubiria kwa hamu, hapo ndio itakuwa msibaa kabisa
3. Ni zamu yenu kuingia sokoni timu ikiwa kwenye presha kubwa tuone mtafanya Nini, naisubiria Sanaa kwa hamu kuona mnavyopotelea kusikojulikana
4. Fukuzeni kocha, mleteni mpya aanze kuwa fahamu wachezaji, mzidi kupoteza milele daima.
Mpira uheshimiwe