Bora maana Bwire angeongea sana na misimu yake ile.
Mkuu naomba Matokeo na Mfungaji nani?
Ngoja tuone
Dk ya 41 mabao ni 1 kwa 1! Ruvu shooting wako pungufu baada ya mchezaji wao kumchezea Mayele rafu huku akiwa ni mchezaji wa mwisho.Nani Kafungwa wengine tunategenea Matokeo kutoka JF
Refa wakwao, iwe jua iwe mvua yanga itashinda tu na kea kuthibitisha hilo refa kaanza na red cardYani nyie uto muombe mshinde leo ila matokeo yakiwa hivi mtalikimbia jukwaa leo daadeeq zenu
Hii mechi Manula ndiyo angekuwa ni golikipa wa Ruvu Shooting, angekuwa ameshatundikwa goli 3!Alianza RVS
yanga kachomoa kupitia fei toto kwa shuti kali
Kiasi kwamba kipa aliona moto tu
Kwasababu kocha ana maono kama yanguJaman kwanin aucho hachezi
Sikukosea last time. Nyie watoto wakambo mma nongwaaaa[emoji23][emoji23]Refa wakwao, iwe jua iwe mvua yanga itashinda tu na kea kuthibitisha hilo refa kaanza na red card
Kwa Yanga hii, hata refa angekuwa ni Mwijaku au Moo, bado angaibeba tu.Refa wakwao, iwe jua iwe mvua yanga itashinda tu na kea kuthibitisha hilo refa kaanza na red card
Nyie mlivyokuwa mnapewaga mipenati na timu pinzani kupewa nyekundu, je refa anakuwaga wa kwenu?Refa wakwao, iwe jua iwe mvua yanga itashinda tu na kea kuthibitisha hilo refa kaanza na red card
Sawa ngoja tuoneKwa Yanga hii, hata refa angekuwa ni Mwijaku au Moo, bado angaibeba tu.
Lini hiyo mkuuNyie mlivyokuwa mnapewaga mipenati na timu pinzani kupewa nyekundu, je refa anakuwaga wa kwenu?
Kwasababu kocha ana maono kama yangu
Aucho ni overratedYapi?