Yanga sc 3-1 Ruvu shooting | ligi kuu | Benjamin Mkapa

Refa wakwao, iwe jua iwe mvua yanga itashinda tu na kea kuthibitisha hilo refa kaanza na red card
Sasa kwa faulo ile ya beki wa mwisho ulitaka refa afanyaje? Na sheria inasemaje?
 
Fiston mayele anajitutumua kwa kutafuta mabao ili atengeneze record ionekane kila mechi kafunga, hiyo inachangia kuwa mnyimi wa pasi
Kazi ya striker ni kufanya nini?
 
Hii mechi Manula ndiyo angekuwa ni golikipa wa Ruvu Shooting, angekuwa ameshatundikwa goli 3!

Ila huyu Mohamed Makaka, sijui amepata wapi upako wa kuokoa magoli ya wazi kiasi hiki!
Uzuri hao.manyani hawaja wahi mfunga manula.goli zaidi ya moja kwenye mechi mlizokutana nae
 
Sasa kwa faulo ile ya beki wa mwisho ulitaka refa afanyaje? Na sheria inasemaje?
Afanye fair kama alivyo peta penalty ya azam siku ile kwa kutafsiri kua ni fair challenge
 
Hata ikiwa goli moja linahesabika ni goli tu
Yeye kasema ingekua manula leo angekula nyingi ndipo nikamkumbusha sawa. Ila ajabu tuna walaga 5 na 4 manula akiwepo ndani
 
Kazi ya striker ni kufanya nini?
Kwenye mpira hususani ukiwa uwanjani yeyote anaweza akafunga na yeyote anaweza akazuia kulingana na circumstances

Huyo mayele akiwa kwa golikipa hawezi kuacha mpira ambao unaweza kuleta madhara eti kwasababu yeye sio beki, hamjifunzi kwa luis ambaye alikua anashuka hadi chini kusaidia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…