kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 623
Msemaji wa sasa yupo kisayansi zaidi. Nadhani matopeni ndiyo wanapaswa kuiga kwetu. Hizo ngonjera za Haji Manara sio saizi yetu mabingwa wa kihistoria Tanzania.Wakuu habari zenu,
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu,
Mimi kwa mtazamo wangu tunamuhitaji bado Jerry Muro awe msemaji wetu la sivyo tutaendelea kunyanyaswa kwa kauli za wakina Haji Manara.
Mpaka sasa sizani kama tuna msemaji wa Timu, maana kila siku kimya tuu yaani haiwezekani. Mechi ya juzi na watani wetu Simba tulitawaliwa vikali kuanzia kwenye mitandao mpaka majukwaani.
Mashabiki pia tunahitaji msemaji atakae amsha morali yetu sisi mashabiki.
Ni hayo tu kwa wana YANGA.
Karibuni ili tupaze sauti zetu.
***YANGA SC DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.***
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya propaganda nyingi za timu hizi huvuma sana katika redio na TV stations, na si katika mitandao. Hata Masau Bwire anapatia umaarufu katika Radio & TV StationsMsemaji wa sasa yupo kisayansi zaidi. Nadhani matopeni ndiyo wanapaswa kuiga kwetu. Hizo ngonjera za Haji Manara sio saizi yetu mabingwa wa kihistoria Tanzania.
Lazima tuonyeshe tofauti yetu na wao. Umeziona post za Msemaji wetu kwenye FB. Brief, up to the point and informative.
Simba tumemchoka Haji Manara tunamtaka OKW BOBAN SUNZUYanga tunamtaka demigod ashindane ya Mandala
We una chuki zako binafsiMkuu naheshimu hitaji lako. Ila Jangwani sio Bendi ya Taarab hadi tulazimishe huyo Khadija Koppa aje huku.
Umeona mambo ya Dismass Ten mitandaoni lakini...?
Mkuu Jumatano ulikuja na mbwembwe nyingi baadae ukapotea.....NDALA NI SHIDA...kazi ni kuendea MALIWATONI...Mkuu naheshimu hitaji lako. Ila Jangwani sio Bendi ya Taarab hadi tulazimishe huyo Khadija Koppa aje huku.
Umeona mambo ya Dismass Ten mitandaoni lakini...?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3]Yanga tunamtaka demigod ashindane ya Mandala
Mkuu Jumatano ulikuja na mbwembwe nyingi baadae ukapotea.....NDALA NI SHIDA...kazi ni kuendea MALIWATONI...
Sina chuki na Jerry.