Yanga SC ilipomsajili Mkude Ali Kamwe alitumia muda mrefu kumpamba Redioni, kwanini leo anaulizwa yuko wapi anakuwa mkali kujibu?

Yanga SC ilipomsajili Mkude Ali Kamwe alitumia muda mrefu kumpamba Redioni, kwanini leo anaulizwa yuko wapi anakuwa mkali kujibu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na hata jina jipya la kumuita Jonas Mkude 'Homeboy' badala ya lile la 'Nungunungu' alilolipatia akiwa Simba SC alimbatiza yeye.

Cha Kushangaza tokea GENTAMYCINE atoboe siri ya Mkude kutoweka Kambini Avic Town Kigamboni huku akiwazimia simu Vingozi na watu wengine kutambaa nayo huku wapuuzi fulani (hapa JamiiForums) wakidhani nimedanganya na kukurupuka nayo.

Hivi sasa ukitaka ufokewe au utukanwe na Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe wewe thubutu tu kumuuliza Mchezaji Mkude yuko wapi.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Kudadadeki....!!
 
Back
Top Bottom