Yanga SC imetufundisha Simba mahesabu Kila hatua kimataifa

Mbumbumbu Kwan hamjui kuwa zote hizo zpo chini ya CAF
 
Sema kombe la CAF la luzas,.

Wanakocheza Simba Ni kwa wakubwa. Kule utopolo mlishindwa.

Ktk mitihani Darasa la kwanza HUWA wanapata mpaka 100 ya 100
Robertinho anataka kuazima kikosi Cha yanga
 
Kwan hamjui kuwa zote hizo zpo chini ya CAF
hata Simba Queens ya wadada wa Simba ilishiriki michuano iliyokuwa chini ya CAF, lakini haikuwa inaitwa CAF Champions League wala michuano ya CAF
 
Yanga inamfundishaje simba ktk vitu ambavyo simba ni mkongwe navyo.
 
Dunduka ....Yote ni michuano ya CAF
Kwa hiyo hata kama wote shuleni ni wanafunzi ndiyo kigezo tosha kusema wote wanasoma darasa la saba?.Punguza mahaba yako na timu yako uujue ukweli. Point anazokusanya simba ni nyingi kuliko anazopata yanga kwa level hiyo tu ya kuingia robo.
 
Umetisha.
 
SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.

1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.

Atakuwa widad????
 
hata Simba Queens ya wadada wa Simba ilishiriki michuano iliyokuwa chini ya CAF, lakini haikuwa inaitwa CAF Champions League wala michuano ya CAF
Yaaah bosi nadhani umeelewa
 
Kwa hiyo hata kama wote shuleni ni wanafunzi ndiyo kigezo tosha kusema wote wanasoma darasa la saba?.Punguza mahaba yako na timu yako uujue ukweli. Point anazokusanya simba ni nyingi kuliko anazopata yanga kwa level hiyo tu ya kuingia robo.
Pole sana mkuu
 
Kumbuka now tupo kwenye modern football
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…