Yanga Sc Kama haina matumizi na kibwana Shomari ni Bora wamuuze au wamtoe kwa mkopo katika dirisha dogo ili mashabiki tuburudike na kipaji chake

Kibwana Hana ubora wa kumzidi job.Yaani ubora wa kibwana ni zaidi Lomalisa kwa lipi?Lete takwimu sio blabla.
 
Bado mechi zipo atacheza tu yule yao ni kitasa nyie sio poa
 
We nae ni mpumbavu na unawaza kutumia makalio sijui!, Kwamba kibwana ndio kawa mchezaji wa kwanza kukaa benchi hapo yanga?, Mbona hujamsemea Farid Musa?, Vipi kuhusu Nkane?. Tupunguze uharo na kujaza saver za jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…