Yanga SC kwa mpira huu kwa mashindano haya hatutoboi

Yanga SC kwa mpira huu kwa mashindano haya hatutoboi

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Yanga wana mpira wa zamani saana ndio maana wanafeli kwenye michuano ya kimataifa

Na tusipo badirika hata wale wa mali tutakwenda nao 0-0 tena kwa mkapa

Kwanini tunapenda mpira wa short pass

Kwanini tunapenda mpira wa ball possesion

Wewe uko ugenini kwanini tucheze mpira wa ball possion kupenda kupiga short pass

Mambo ya possesion haya tuachane nayo siku hizi hakuna vya mpira mzuri kizuri ni matokeo tu

Kwa fasalfa yangu mimi pale tulitakiwa tucheze long pass kwa kupiga mpira mbele tu na kutafuta makosa ya kibinadamu.

Unapokuwa unapiga mpira mbele hata wale maadui zako watakuwa wanaogopa kupanda kuja kushambulia kwa wingi.
 
Yanga hawana uzoefu na mashindano haya we waache siku wakielewa somo watabadilika wenyewe
Wachezaji wote wa Yanga wana uzoefu wa michuano hii, au wee Una zungumzia Yanga ipi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Long passes za Simba mnaita butua butua kumbe na nyie mna wish kucheza mpira huo? Watanzania wanafki sana aisee
Nani acheze butua butua ww?

Ni mipango mibovu ya mwalimu na kukosa winga za uhakika, kumweka single straiker, Mayele kukosa umakini ktk kufunga.
 
Nani acheze butua butua ww?
Ni mipango mibovu ya mwalimu na kukosa winga za uhakika,kumweka single straiker,Mayele kukosa umakini ktk kufunga
Kuna long passes na kuna butua butua. Unadhani Diarra akiwa anapiga mpira mbele ni butua au ni long pass?

Mmejua leo kuwa hamna winga za uhakika? Mfukuzeni Nabi mrudisheni Mkwasa au Minziro. Mayele hajakosa umakini, shuti lenyewe leo amepiga moja kama sikosei.
 
Bongo nyoso, yani kila Mtu ni;

Mchambuzi bora wa soka.

Msomi mwenye PhD.

Tajiri.

Yani ni balaa [emoji1]
 
Yanga tunaitaji mpiga mashuti akiwa mbali kama Fei Toto. Pia Fei anaweza mchezesha Mayele sio Ki
 
Hata hivo hii mechi ilikuwa ni kama ulingoni tu yanga wamewahiwa za USO habari imeisha kipindi Cha pili monastir wameanza kulala na waliutafuta mpira kwa tabu
 
Kuna long passes na kuna butua butua. Unadhani Diarra akiwa anapiga mpira mbele ni butua au ni long pass?

Mmejua leo kuwa hamna winga za uhakika? Mfukuzeni Nabi mrudisheni Mkwasa au Minziro. Mayele hajakosa umakini, shuti lenyewe leo amepiga moja kama sikosei.
Mayele Kapata nafasi mbili moja katengewa na Musonda ndani ya sita. Na nyingine kapiga shuti hafifu na kalenga kipa, kipa akacheza kwa miguu. Kuna mashambulizi mengi tu kayaua kwa kupoteza mipira. Vbandani leo ndio kaongoza kwa kuoga matusi ya mashabiki
 
Mayele Kapata nafasi mbili moja katengewa na Musonda ndani ya sita. Na nyingine kapiga shuti hafifu na kalenga kipa, kipa akacheza kwa miguu. Kuna mashambulizi mengi tu kayaua kwa kupoteza mipira. Vbandani leo ndio kaongoza kwa kuoga matusi ya mashabiki
Mayele sijawahi kumuona aina ya mchezaji wa kutafuta nafasi, mtamuonea bure kwa game ya leo. Yule ni mtu wa kutengewa na yuko vizuri sana ukimpa nafasi anajuaga kuzitumia. Sasa hivi Yanga hakuna mtu wa kumtengenezea hizo nafasi ndiyo maana anastruggle sana hata kwenye ligi ni hivyo hivyo.

Hizo chance mbili labda ya kwanza ndiyo unaweza kumlaumu kwa kukosa umakini na yenyewe labda kwa 60% ila ile save ya mguu hakuwa kwenye angle nzuri ya kupiga shuti la maana.
 
Back
Top Bottom