Yanga sc mnajuwa kuwa Bahari ni kiboko ya wachawi

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

[emoji115] [emoji115] uzi wa ndugu yetu mshana aliwahi sema bahari ni kiboko ya wachawi.


Uongozi wa Yanga umesema kikosi chao kitaweka kambi Pemba, Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba, Agosti 23

Kumekuwa na kasumba kila Dar derby ikitaka kufika yanga inakimbilia kuweka kambi Pemba huku wenzao simba wakienda Bagamoyo.

Nawakumbusha tu yanga .
 
Unashika Maji na mchanga unaoa navyo na unavuka maisha yanaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…