Yanga sc ndio timu ya kwanza kufungwa toka kampuni ya tigo kubadilisha jina

Yanga sc ndio timu ya kwanza kufungwa toka kampuni ya tigo kubadilisha jina

Prince_Nurudin_Tz

Senior Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
172
Reaction score
133
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia siku ya jumanne Mabadiliko haya yametangazwa siku ya jumanne jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
 
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Tanzania imebadilishwa jina na sasa itajulikana kama YAS kuanzia siku ya jumanne Mabadiliko haya yametangazwa siku ya jumanne jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohudhuriwa na watu mbalimbali na kuongozwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa.
Rekodi kubwa sana hii
 
Kumbe
IMG-20241127-WA0051.jpg
 
Back
Top Bottom