yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,409
Tangu nilivyoifahamu Yanga enzi za sanifu Lazaro, akaja Lunyamila, wakafata wengine na wengine hadi juzi kati Msuva. Tulikuwa tunashambulia kwa kasi kupitia pembeni miaka nenda rudi, huo ndo utamaduni wa timu yetu.
Lakini timu yetu ya mwaka huu inatofauti na Yanga zote zilizopita ndo mana tunapata ushindi wa magoli machache. Tunapata goli kwa tabu sana, hii ni kwa sababu tunashindwa kushambulia kwa kasi kupitia pembeni. Ni lazima tupate wachezaji wenye kasi kupitia pembeni, huyo mchezaji tukishindwa kumtengeneza tumrudishe Mrisho Ngasa kwanza wakati tunajiuliza.
Ngasa bado mchezaji mzuri tu kibongobongo, tusidanganyike eti kwasababu amefeli huko south Africa ndo hatufai, mbona kunamchezaji mmoja wa Simba anafanya vizuri tu ingawa huko alikotoka hakupewa nafasi hata ya kukaa bechi. Halafu Ngasa anaijua Yanga vizuri na anacheza kwa moyo..
Wako kwenye ujenzi Wa Dar young Africa..
Lakini timu yetu ya mwaka huu inatofauti na Yanga zote zilizopita ndo mana tunapata ushindi wa magoli machache. Tunapata goli kwa tabu sana, hii ni kwa sababu tunashindwa kushambulia kwa kasi kupitia pembeni. Ni lazima tupate wachezaji wenye kasi kupitia pembeni, huyo mchezaji tukishindwa kumtengeneza tumrudishe Mrisho Ngasa kwanza wakati tunajiuliza.
Ngasa bado mchezaji mzuri tu kibongobongo, tusidanganyike eti kwasababu amefeli huko south Africa ndo hatufai, mbona kunamchezaji mmoja wa Simba anafanya vizuri tu ingawa huko alikotoka hakupewa nafasi hata ya kukaa bechi. Halafu Ngasa anaijua Yanga vizuri na anacheza kwa moyo..
Wako kwenye ujenzi Wa Dar young Africa..