Na si kwamba imeandikwa msimu mmoja, si unawajua Yanga kwa kunyapianyapia...sisi tunaongoza weeeeeeee, halafu mzee baba anakuja kumalizia na kusepa na NDOOMkuu hiyo story ya Yanga kuipumulia Simba kisogoni nilidhani ni porojo kumbe kweli imeandikwa tena kwenye gazeti pendwa Mwananchi. Daah!!
Mkuu yani hawa huwaamini kabisa tumewafunga wale waliowashindwa wao. Ni hali tu kutaka kuwaharibia na mashabiki concentration ya timu yetu pendwa Young Africans. Walianza kusingizia tulipanga matokeo kwa kujitengenezea vimeseji vya ajabu vya wachezaji. Sa ona walichokuja nacho.
We pambana na timu yako mwarabu anakuramba *****
Mwenye matokeo..nilisikia game itapgwa mida hii
Kumbe unajua Egypt kuna wanaume na bado mkaenda, ili tu mkaimbiwe Habiby Habiby....πππGame ipi unayoulizia ya Mwanamume kule Egypt au ile ya Wanawake huko Botswana?
Match it will start 10:45Mwenye matokeo..nilisikia game itapgwa mida hii
Kiingereza cha Somalia mashallah!Match it will start 10:45
Match it will start 10:45
Ya makirikiriGame ipi unayoulizia ya Mwanamume kule Egypt au ile ya Wanawake huko Botswana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siyo lazima sana tuandike kwa Kiingereza halafu ' tujiabishe ' hivi. Kwani ungesema tu kuwa mtanange / mchezo huo utachezwa Saa 10 na dakika 45 usingeeleweka? Katika Kiingereza huwa hakuna sentensi kama hiyo yako uliyoandika hapo ya " Match it will start 10:45 " bali kuna sentensi ya " match will kick off at 10:45 pm ". Na mara nyingi katika Michezo huwa huwa hatutumii sana neno ' start ' badala yake hutumika sana neno la ' kick off '. Bado nasisitiza tupende sana kutumia Lugha yetu hii ya Kiswahili ambayo ni nzuri na hata Mimi GENTAMYCINE naipenda mno na Kiingereza tuwaachie wenyewe kwani hata Mimi ' nakiogopa ' vile vile. Halafu Wewe unaonekana ni ' Mshabiki ' wa Yanga SC ambao wengi wao Kiingereza Kwao ni Mtihani mzito. Hamia kwa Simba SC tukufundishe Kiingereza Mkuu. Halafu kabla sijasahau huo muda wako uliotuwekea hapo wa 10:45 unamaanisha Saa 10 na dakika 45 ya Kimadafu / Kiswahili au unamaanisha Saa 4 na dakika 45 usiku?
Kila la kheri.