Yanga si kila siku kama jana kama juzi. Msimu huu mgumu 3 inawahussu

Yanga si kila siku kama jana kama juzi. Msimu huu mgumu 3 inawahussu

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
5,778
Reaction score
4,859
Timu pendwa ya wananchi imekua na utaratibu wake mzuri, kambi ndani ya nchi ,mechi za kirafiki wanakipiga na Kombaini na teams za ligi daraja la tatu hadi nne.

Jambo jema ila tahadhari yule profesa hayupo tena, mtetemesha manyonyo hayupo, djuma na bangala kama kweli pia. Mmesajil vema ila sasa kubali kataa mnatengeneza team.

Msimu huu msipoangalia nafasi ya 3 inawahusu, na bahasha zimedhibitiwa.

Asanteni.
 
Umesema tusipoangalia sasa tukiangalia inakuaje?!
Na tusipoangalia nini mkuu
 
Back
Top Bottom