Yanga, Simba jitengeni na siasa na udini

Yanga, Simba jitengeni na siasa na udini

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Hizi ni timu pendwa sana kwa watanzania wa rika zote, dini zote na vyama vyote vya siasa. Kwa ushauri wangu msijifungamanishe na vyama siasa na wanasiasa, msijinasibu na dini yeyote kama mnavyofanya sasa. Huo ni ushauri wangu wa kiutu uzima
 
Hizi ni timu pendwa sana kwa watanzania wa rika zote, dini zote na vyama vyote vya siasa. Kwa ushauri wangu msijifungamanishe na vyama siasa na wanasiasa, msijinasibu na dini yeyote kama mnavyofanya sasa. Huo ni ushauri wangu wa kiutu uzima
Yanga wakifunga goli wanashangilia CCM CCM CCM CCM sasa watakuelewa hao, hao ndugu zao nao wanaingia na picha ya Mwenyekiti wa CCM . Hizo ni project za CCM za kuwapumbaza Watanganyika.
 
Yanga wakifunga goli wanashangilia CCM CCM CCM CCM sasa watakuelewa hao, hao ndugu zao nao wanaingia na picha ya Mwenyekiti wa CCM . Hizo ni project za CCM za kuwapumbaza Watanganyika.
Nimesikia kombe la Toyota Yanga wanamkabidhi mama Abdul na IIjumaa NI siku rasmi ya dua!!!
 
Hizi ni timu pendwa sana kwa watanzania wa rika zote, dini zote na vyama vyote vya siasa. Kwa ushauri wangu msijifungamanishe na vyama siasa na wanasiasa, msijinasibu na dini yeyote kama mnavyofanya sasa. Huo ni ushauri wangu wa kiutu uzima
CHADEMA SI MUANZISHE TIMU YENU?
 
Yanga wakifunga goli wanashangilia CCM CCM CCM CCM sasa watakuelewa hao, hao ndugu zao nao wanaingia na picha ya Mwenyekiti wa CCM . Hizo ni project za CCM za kuwapumbaza Watanganyika.
KWANI UMELAZIMISHWA KUWA MSHABIKI? NYIE MISUKULE YA MZEE MBOWE NI LAANA KWENYE NCHI YETU AISEE
 
Siasa imewapata watu maisha , wapo wengi sana wanaotegemea ccm au chedema ili mkono uingie kinywani. Kundi hilo usicheze nalo, lenyewe haliamini siasa safi, wengi wana elimu ndogo nje ya vyama vyao wanaogopa maisha sana, ni watu wa mission town, ukiikosoa ccm au chadema kwa nia njema wako tayari kutukana matusi ya nguoni na vitisho juu, hilo kundi limejaa masengenyo, hilo kundi lilipewa pesa au kazi linasaliti vyao vyao.
 
Hizi ni timu pendwa sana kwa watanzania wa rika zote, dini zote na vyama vyote vya siasa. Kwa ushauri wangu msijifungamanishe na vyama siasa na wanasiasa, msijinasibu na dini yeyote kama mnavyofanya sasa. Huo ni ushauri wangu wa kiutu uzima
Hizi team ni project ya nchi mzee baba, usidhani zinafanya hayo zenyewe
 
Yanga inaelekea kubaya kwasababu imeanza kuharibu mpira wa Tanzania kwa kuchanganya siasa na mpira na udini,kwenye vile vijezi vyao wameweka bendara ya taifa na ishara ya viasharia vya chama chama pinduzi..sasa naona hizi tuhuma zikifikishwa FIFA na mdau yeyote au timu yeyote yanga wanaweza kufungiwa mpira kwa miaka mingi..mfano Kenya imewakuta haya
 
Yanga inaelekea kubaya kwasababu imeanza kuharibu mpira wa Tanzania kwa kuchanganya siasa na mpira na udini,kwenye vile vijezi vyao wameweka bendara ya taifa na ishara ya viasharia vya chama chama pinduzi..sasa naona hizi tuhuma zikifikishwa FIFA na mdau yeyote au timu yeyote yanga wanaweza kufungiwa mpira kwa miaka mingi..mfano Kenya imewakuta haya
Tarehe 8 kipigo kipo palepale, walichofanywa Kaizer chiefs ile ni demo tu.
 
Back
Top Bottom