witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
Umofia wana Jukwaa.
Binafsi nasikitika na trend ya timu zetu kimataifa hadi sasa hamna unafuu kwa Timu zetu Kati ya Simba na Yanga.
Kuna shida hasa kwenye management Simba iliwaza nini kumsajili Kocha ambae haja- prove kokote alikuwa Kocha namba 2 Raja na hakuna cha maana alionyesha kwa mafanikio ya timu vilevile Yanga Kocha hajashinda game sita (6) consecutively ni Sare na vipigo unamleta a- train Timu icheze na National Al ahly kweli ?
Triple C alionyesha uwezo wake umepungua pia kiberenge/ chapombe kutoka Ghana alishindwa akiwa Simba plus Mkude nishati imepungua lakini Hersi kisiasa za ushabiki akatoa pesa nyingi akawapeleka Jangwani hadi Leo kuna madeni, kulikuwa na umuhimu gani wa kusajili rejected players ?
Timu ipo kwenye mashindano unamfukuza Kocha mwenye experience unaleta Sangara as if Avic Town ni mto wa kufuga samaki.
Game ya Leo 08.12.2024 ilikuwa Simba ishinde na hapa ndio ukubwa wa Timu unakuja lakini Kocha anaingia na mentality ya kulinda na kusababisha kuanza kutegeana kwa mabeki na kujikaba wenyewe though Simba imeonyesha game nzuri lakini Kocha au uongozi wa Simba utoe ushauri kwenye bench la ufundi Ahoua anachoweza ni kuzunguka na Pacome kwenye clubs sio kucheza, Dogo pimbi sana hana anachofanya uwanjani, mchezaji bamia sana zero brain hajui anafanya nini uwanjani.
Ahoua kwa namba anayocheza hana msaada kwa timu. Ni mchezaji liable / weak sana number TEN inatakiwa uwe jitu la mavitu na utulivu wa kutosha.
Kocha ana changamoto ya kupanga kikosi na hiyo ni kwa sababu ya kuamini kulinda zaidi na kupelekea wachezaji kukosa umakini langoni mwa mpinzani.
Ahoua kwa sasa ni mzigo kwa Timu kitendo cha kocha kumweka nje AWESU ni kutukosea mashabiki huyu mchezaji wake hana sifa ya kucheza hata Tabora United. Mchezaji hana hatari langoni mwa mpinzani utulivu zero , Passing zero & dribbling zero so what kind of professional player is this ?
Kocha anatukosea sana Simba fans AWESU yupo Deborah ana utulivu mzuri anaanzia benchi kweli ? Ahoua must Go anawakaba wenzake.
Kama tutaendelea hivi soka letu litarudi nyuma sana kwa sababu nina hakika Yanga hatoboi makundi kwa nature ya wachezaji waliopo na Kocha wao. TX Galax kwa sasa inafanya vizuri lakini kipindi cha mbegu ya maboga Timu ilikuwa tangawizi kumbe shida ilikuwa ni Kocha.
Nawaza possibly tumeshaushiwa na wahuni ili tulete hawa makocha ili thamani ya league yetu ishuke "conspiracy"
Binafsi nasikitika na trend ya timu zetu kimataifa hadi sasa hamna unafuu kwa Timu zetu Kati ya Simba na Yanga.
Kuna shida hasa kwenye management Simba iliwaza nini kumsajili Kocha ambae haja- prove kokote alikuwa Kocha namba 2 Raja na hakuna cha maana alionyesha kwa mafanikio ya timu vilevile Yanga Kocha hajashinda game sita (6) consecutively ni Sare na vipigo unamleta a- train Timu icheze na National Al ahly kweli ?
Triple C alionyesha uwezo wake umepungua pia kiberenge/ chapombe kutoka Ghana alishindwa akiwa Simba plus Mkude nishati imepungua lakini Hersi kisiasa za ushabiki akatoa pesa nyingi akawapeleka Jangwani hadi Leo kuna madeni, kulikuwa na umuhimu gani wa kusajili rejected players ?
Timu ipo kwenye mashindano unamfukuza Kocha mwenye experience unaleta Sangara as if Avic Town ni mto wa kufuga samaki.
Game ya Leo 08.12.2024 ilikuwa Simba ishinde na hapa ndio ukubwa wa Timu unakuja lakini Kocha anaingia na mentality ya kulinda na kusababisha kuanza kutegeana kwa mabeki na kujikaba wenyewe though Simba imeonyesha game nzuri lakini Kocha au uongozi wa Simba utoe ushauri kwenye bench la ufundi Ahoua anachoweza ni kuzunguka na Pacome kwenye clubs sio kucheza, Dogo pimbi sana hana anachofanya uwanjani, mchezaji bamia sana zero brain hajui anafanya nini uwanjani.
Ahoua kwa namba anayocheza hana msaada kwa timu. Ni mchezaji liable / weak sana number TEN inatakiwa uwe jitu la mavitu na utulivu wa kutosha.
Kocha ana changamoto ya kupanga kikosi na hiyo ni kwa sababu ya kuamini kulinda zaidi na kupelekea wachezaji kukosa umakini langoni mwa mpinzani.
Ahoua kwa sasa ni mzigo kwa Timu kitendo cha kocha kumweka nje AWESU ni kutukosea mashabiki huyu mchezaji wake hana sifa ya kucheza hata Tabora United. Mchezaji hana hatari langoni mwa mpinzani utulivu zero , Passing zero & dribbling zero so what kind of professional player is this ?
Kocha anatukosea sana Simba fans AWESU yupo Deborah ana utulivu mzuri anaanzia benchi kweli ? Ahoua must Go anawakaba wenzake.
Kama tutaendelea hivi soka letu litarudi nyuma sana kwa sababu nina hakika Yanga hatoboi makundi kwa nature ya wachezaji waliopo na Kocha wao. TX Galax kwa sasa inafanya vizuri lakini kipindi cha mbegu ya maboga Timu ilikuwa tangawizi kumbe shida ilikuwa ni Kocha.
Nawaza possibly tumeshaushiwa na wahuni ili tulete hawa makocha ili thamani ya league yetu ishuke "conspiracy"