Yanga, Simba na Azam kununua goli milioni 5 ili kuipa hamasa Taifa Stars

Yanga, Simba na Azam kununua goli milioni 5 ili kuipa hamasa Taifa Stars

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kauli hii imezungumzwa na Msemaji wa Yanga Ali Kamwe kwa niaba ya wasemaji wengine “Sisi ambao ni vilabu na ambao ndiyo wanufaika sisi Yanga, wenzetu Simba na Azam inatakiwa tumsapoti mama kwa kununua goli ili kuipa hamasa Taifa Stars.”

“Masharti ya kupata pesa hizo ni kila goli tutanunua kwa shilingi milioni 5 lakini tunahitaji magoli kuanzia matatu iwe milioni 15 ambayo kila milioni 5 inatoka kwa kila klabu hizi tatu Simba, Yanga na Azam.”

“Kama magoli hayatafika matatu kwa kila mchezo basi hatutatoa hiyo pesa.”

Soma Pia:

 
Kauli hii imezungumzwa na Msemaji wa Yanga Ali Kamwe kwa niaba ya wasemaji wengine “Sisi ambao ni vilabu na ambao ndiyo wanufaika sisi Yanga, wenzetu Simba na Azam inatakiwa tumsapoti mama kwa kununua goli ili kuipa hamasa Taifa Stars.”

“Masharti ya kupata pesa hizo ni kila goli tutanunua kwa shilingi milioni 5 lakini tunahitaji magoli kuanzia matatu iwe milioni 15 ambayo kila milioni 5 inatoka kwa kila klabu hizi tatu Simba, Yanga na Azam.”

“Kama magoli hayatafika matatu kwa kila mchezo basi hatutatoa hiyo pesa.”
Good
 
Wameona hayatafika matatu mimi naona haya ni makubaliano ya ulaghai
Ila wajitahidi kila wataye Kutana naye wamkande kuanzia goli 3 ili wapate milioni 15 mbona goli la mama ukikandwa 5 wewe unatakiwa umkande mpizani goli 6 ama zaidi unapewa pesa
 
Duh....Ahmed,Kamwe na Ibwe ndo Wameunda Utatu Wao....! Ndo Kusema Wamemwondoa Manara mpaka Taifani?

Manara hakuna kupewa Usemaji mpaka Taifa stars..

Wanakaba mpaka Penati.....!

Basi, Manara hangaika na ndoa zako tu, Usijali. Mnyazi Mungu atakulipia
 
Ungeanza Simba,yanga na Azam..mbona huna heshima kwa mfalme wako na baba yako we chokx
 
Back
Top Bottom