Yanga sio mtani wa jadi

Haya mambo yanafanyika kwa sababu uwanja unaotumika ni mmoja. Kesho Simba au yanga ikimiliki uwanja wake unafikiri kunakomandoo wa Simba au yanga ataenda kulinda uwanja wa mwenzie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga inaweweseka kwa sasa. Mpira umewashinda sasa wanaimba ngonjera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ni watu wa hovyo
 
Serikali ya washamba ..ndio maana mambo yanaenda kishambashamba...Bashite kaimaliza Yanga ..unampa mtu kesi 13 anapangua zote..hakuna cha TFF Mikia wala nini?Yanga haina hela ya kusajili quality players..mbona wakati wa Rage Yanga wamechukua kombe Mara nyingi tu...
 
Aaaaaah Nusr et
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…